Michosho
JF-Expert Member
- Mar 17, 2012
- 662
- 649
Mwaka jana mwezi wa 10,nilianzisha biashara yangu ndogo kulingana na mtaji mdogo nilokuwa nao.kabla ya kuanza nilienda TRA ili nipate TIN,kisha leseni ya biashara.Biashara hiyo ni STATIONERY.Utaratibu nilopitia kupata TIN ilibidi wanifanyie kwanza tathimini ya biashara yangu,na yule kija akanishauri kuwa ili nipate hiyo TIN inabidi tathinmini ya kipato changu kiwe kinanzia 18,000/= kwa siku.
lakini baada ya kuanza biashara kwa siku ilikuwa ni ngumu kufikisha hiyo Elfu 18,ikabidi nibadili eneo la biashara nako hali haiijakaa sawa,tatizo ni mtaji mdogo kwani sina daftari, kalamu wala bidhaa nyingine,ila nina type,print,photocopy,scanning na pia natoa huduma ya Mpesa na Tigo pesa basi,sina kitu kingine kabisa.
kodi ya mapato inatikiwa kulipwa,japo jamaa hawajanitembelea, lakini hiyo amount inayostaili mtu ufikie kiwango cha kulipa kodi sipati kwa siku.JE NIFANYE NINI,KABLA YA KURUDI KULE TRA NAOMBENI USHAURI WENU WADAU ILI NIPATE KUFAHAMU MENGI ZAIDI JUU YA KODI YA MAPATO KWA HAPA NCHINI HASA KWA BIASHARA NDOGO NDOGO.
lakini baada ya kuanza biashara kwa siku ilikuwa ni ngumu kufikisha hiyo Elfu 18,ikabidi nibadili eneo la biashara nako hali haiijakaa sawa,tatizo ni mtaji mdogo kwani sina daftari, kalamu wala bidhaa nyingine,ila nina type,print,photocopy,scanning na pia natoa huduma ya Mpesa na Tigo pesa basi,sina kitu kingine kabisa.
kodi ya mapato inatikiwa kulipwa,japo jamaa hawajanitembelea, lakini hiyo amount inayostaili mtu ufikie kiwango cha kulipa kodi sipati kwa siku.JE NIFANYE NINI,KABLA YA KURUDI KULE TRA NAOMBENI USHAURI WENU WADAU ILI NIPATE KUFAHAMU MENGI ZAIDI JUU YA KODI YA MAPATO KWA HAPA NCHINI HASA KWA BIASHARA NDOGO NDOGO.