Natakiwa kuondoka jioni ya leo; wapi nitapata IT au private za Tabora?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Wadau,

Nimepata dharura natakiwa niondoke jioni hii kwenda Tabora. Nahitaji kujua kituo ambacho nitapata private car au IT na mida husika ili niende Tabora jioni ya leo kesho niwe ofisini kwa mdau then keshokutwa nigeuze.

Naombeni kufahamishwa vijiwe vya kupata magari hayo. Na muda pia
 
My experience, wiki tatu zilizopita.

Nilienda mbezi mwisho, nikakuta kuna Coster ya kwenda kahama,nikapanda nikashuka nzega Saa kumi na mbili asubuhi, nikapanda Hiace, saa mbili nilikuwa Tabora mjini.
 
Mkuu kwa IT nenda mpingo house kwa mbele kuna sheli pale kuna it nyingi
 
Nenda pale kwenye kituo cha tra mbele ya kibaha misugusugu kama sijakosea IT zote lazima zipitie pale,ukikosa panda basi mpka dom au singida afu mbeleni huko utapata tu gari
 
Chang'ombe pale mataaa.muda wowotee.

Safari za it zote huanzia palee. Hata wanao kwambia kimara, hupata it zinazo toka palee.

Uzoefu, huwe pata ya moja kwa moja tabora mjini (iwe bahati)lla nzega/igunga zipo. Maana it nyingi za njia ya kati zina elekeaa,uganda, Rwanda,Burundi na kongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…