Natalia nisaidieni kaka zangu wana jamii mwanangu wangu nimtahiri au ?

Natalia nisaidieni kaka zangu wana jamii mwanangu wangu nimtahiri au ?

Natalia

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2011
Posts
4,324
Reaction score
1,892
Seriously yaani madaktari wa Huku wananiambia it's my choice.

Please nisaidieni .mume wangu ananiambia Niamue mimi mwanangu anamiaka 2 .alivyozaliwa nilikataa asifanyiwe circumcision niliogopa infection na maumivu.

Sina raha ushauri Wenu utanisaidia.
 
Fuata kama baba yetu Ibrahim alivyoelekezwa na Mungu. Si hivyo tu hata ving'asti siku hizi hawapendi magovi!

Mimi nakushauri hivo dada yangu.
 
Seriously yaani madaktari wa Huku wananiambia it's my choice . Please nisaidieni .mume wangu ananiambia Niamue mimi mwanangu anamiaka 2 .alivyozaliwa nilikataa asifanyiwe circumcision niliogopa infection na maumivu.sina raha ushauri Wenu utanisaidia

Yani kumbe una mtoto na ulivyo empty headed utakuwa umepata mburula aisee!

Mtajijua ukitaka mwache na mkono wa sweta ukitaka mkate na panga its up to you!

Au chukua itafune!
 
Yani kumbe una mtoto na ulivyo empty headed utakuwa umepata mburula aisee!

Mtajijua ukitaka mwache na mkono wa sweta ukitaka mkate na panga its up to you!

Au chukua itafune!

umenichekesha hadi basi
 
Yani kumbe una mtoto na ulivyo empty headed utakuwa umepata mburula aisee!

Mtajijua ukitaka mwache na mkono wa sweta ukitaka mkate na panga its up to you!

Au chukua itafune!
Mungu kanijalia watoto watatu .wa kwanza Ana miaka 12 na wapili 7 na wa Mwisho my baby boy
 
Utajisikiaje pale atakapopewa jina la staring wa kihindi a.k.a govinda???????
Swali baba yake katahiriwa??
Kama babake katahiriwa na yeye mtahiri kama hajatahiriwa usimtahiri
 
Mungu kanijalia watoto watatu .wa kwanza Ana miaka 12 na wapili 7 na wa Mwisho my baby boy

Wa kwanza ulizaa ukiwa haki elimu! Yani una mamburula matatu!!! Kiruu, huyo ze mumeo ameongeza mang'aa kwenye ukoo wake!

Utajibeba na lundo la watoto kila mmoja na babake! Mkate na sime la kimasai awe na rungu ya kimasai.
 
mtoto awe kama baba yake
baba yake si hajatahiriwa?
why umlazimishe mtoto?

Baba tajiri kumbe ana mkono wa sweta! Uuuuuughhh!!!! No wonder he cooks for you and bring da food to the bed while umelaza mbunye tu iliyofotoa ma-kid mburula watatu tena mikono ya sweta!

Swali la kizushi, hivbi kwa hiyo huwa unapuliza kama pulizo ile mkono wa sweta? Just to share the gossip my dada tajiri.
 
Nahisi hii BAN unayoitafuta ni ile ya kurudi na Id nyingine.
>>back to the topic.
kuna sababu nyingi za kiafya zinazokulazimisha ufanye tohara kuliko hizo zako za maumivu na infection
 
Baba tajiri kumbe ana mkono wa sweta! Uuuuuughhh!!!! No wonder he cooks for you and bring da food to the bed while umelaza mbunye tu iliyofotoa ma-kid mburula watatu tena mikono ya sweta!

Swali la kizushi, hivbi kwa hiyo huwa unapuliza kama pulizo ile mkono wa sweta? Just to share the gossip my dada tajiri.
Maumivu naogopa mwanangu jamani.
 
Maamuzi ya mtoto ni muhimu. Nimeona hapa Europe ndo trend. Mtoto aamue mwenyewe kama anatahiri au la. Infection kutokana na kutahiri ni unlikely kama huduma za kihospitali ziko ok. Sioni tatizo kufanya sasa au mbeleni ikiwa mtoto hatakuwa na tatizo la phimosis.
 
Zodiac vs Natalia
i need some popcorn for this .
 
Maamuzi ya mtoto ni muhimu. Nimeona hapa Europe ndo trend. Mtoto aamue mwenyewe kama anatahiri au la. Infection kutokana na kutahiri ni unlikely kama huduma za kihospitali ziko ok. Sioni tatizo kufanya sasa au mbeleni ikiwa mtoto hatakuwa na tatizo la phimosis.

hawa wazungu nao wamezidi kujifanya na haki za binadamu, anyway maoni ni hayo, unaweza kuwa kama
mbaiwau
 
Back
Top Bottom