Wa kwanza ulizaa ukiwa haki elimu! Yani una mamburula matatu!!! Kiruu, huyo ze mumeo ameongeza mang'aa kwenye ukoo wake!
Utajibeba na lundo la watoto kila mmoja na babake! Mkate na sime la kimasai awe na rungu ya kimasai.
Saa hizi saa kumi na mbili na Dakika 45 .
wewe mbona hujalala?
halafu unajuaje nipo nchi ipi?
ratiba zangu?
mtoto awe kama baba yake
baba yake si hajatahiriwa?
why umlazimishe mtoto?
Seriously yaani madaktari wa Huku wananiambia it's my choice . Please nisaidieni .mume wangu ananiambia Niamue mimi mwanangu anamiaka 2 .alivyozaliwa nilikataa asifanyiwe circumcision niliogopa infection na maumivu.sina raha ushauri Wenu utanisaidia
Watoto wangu wote baba Yao mmoja .ila swala la wanangu Mimi ndio mama Yao na na walea kiafrika wanangu.
Yaani baba wa huyo Mtoto ana Govi? Mkuu The Boss umenifurahisha leo kwakwakwa....................siku nzuri nimeianza ninakupa like Elfu moja. Turudi kwenye Topic Bibie.@Natalia Nenda hospitali kamkate Mwanao hilo govi lake mimi mwenyewe nilivyozaliwa baada ya siku 40 nilikatwa Govi langu hakuna cha madhara wala Side effect nenda kesho kamkate mwanao govi lake upesi.mtoto awe kama baba yake
baba yake si hajatahiriwa?
why umlazimishe mtoto?
Mkuu hovyohovyo Usilete mambo ya Ulaya na utamaduni wa kwetu Afrika ulaya wengi wao huwa hawakati Magovi yao wachafu mimi ninawaona mimi nipo na hao watu wanashangaa eti kukuona wewe umekata govi lako wakati wanasema wao ni Wakristo wakati Bwana YESU Mwenyewe alikata Govi lake.Maamuzi ya mtoto ni muhimu. Nimeona hapa Europe ndo trend. Mtoto aamue mwenyewe kama anatahiri au la. Infection kutokana na kutahiri ni unlikely kama huduma za kihospitali ziko ok. Sioni tatizo kufanya sasa au mbeleni ikiwa mtoto hatakuwa na tatizo la phimosis.
Mkuu hovyohovyo Usilete mambo ya Ulaya na utamaduni wa kwetu Afrika ulaya wengi wao huwa hawakati Magovi yao wachafu mimi ninawaona mimi nipo na hao watu wanashangaa eti kukuona wewe umekata govi lako wakati wanasema wao ni Wakristo wakati Bwana YESU Mwenyewe alikata Govi lake.
Bibie King'asti unamuuliza Doctor anayaona vipi Magovi ahhhhh wewe mbona upo bado usingizini mimi nipo huku kuwatia suna Wazungu kazi kwako.Sasa nawe unayaona vipi magovi ya wenzio? Ama wewe ni urologist? Ungeacha tujibu sie tuliolala na fuso ya wazungu tukiwinda ndoa baba. Manake sample size imekamilika,lol
Bibie King'asti unamuuliza Doctor anayaona vipi Magovi ahhhhh wewe mbona upo bado usingizini mimi nipo huku kuwatia suna Wazungu kazi kwako.
Seriously yaani madaktari wa Huku wananiambia it's my choice . Please nisaidieni .mume wangu ananiambia Niamue mimi mwanangu anamiaka 2 .alivyozaliwa nilikataa asifanyiwe circumcision niliogopa infection na maumivu.sina raha ushauri Wenu utanisaidia