Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Yani mpaka rahaaa
Tundu Lissu anamwaga dhahaabu, Dk silaaaa anaharibuuu kabisaa
Kulee Lemaa anashtua taifa na wake zao 19 WA wakubwaaa
Yaani natamani kuonana uchaguzi inajirudia kila Mwaka
Naamini. KUNA Siri nyingi sana watuu wamezivumilia ndani ya chama sasa wameamua kumwaga ya moyoni
Haya mambo tukiwapa uchaguzi KILA BAADA ya miaka 5 nahisi wengi watakufa na maumivu kwa yanayoendelea
All the best
Tundu Lissu anamwaga dhahaabu, Dk silaaaa anaharibuuu kabisaa
Kulee Lemaa anashtua taifa na wake zao 19 WA wakubwaaa
Yaani natamani kuonana uchaguzi inajirudia kila Mwaka
Naamini. KUNA Siri nyingi sana watuu wamezivumilia ndani ya chama sasa wameamua kumwaga ya moyoni
Haya mambo tukiwapa uchaguzi KILA BAADA ya miaka 5 nahisi wengi watakufa na maumivu kwa yanayoendelea
All the best