Natamani ex wangu anitafute

Kuna X Wangu aliniletea Mapicha picha Miezi 3 Baada ya Kuajiliwa Huko kwenye kitengo cha Kuzurula NMB.

Akaja kuachwa Vibaya sana na alie kua anampa kiburi, Akajirudi nikapiga chini.

Life is fair because is unfair to every one.
 
Ukaaribu tena ndoa ya mwingine kweli wewe umechanganikiwa haloo
 
Unaweza ukadhani hii ni ngano ya watu wa kale ila kiukweli wanawake walio wengi hufanya hivi.

Kuna rafiki yangu mkewe alidai talaka kwa kuwa mumewe kaoa mke wa pili, mumewe alimsihi sana asiondoke bila mafanikio. Cha ajabu zaidi na yeye mwanamke kaenda kuolewa kama mke wa pili. Sasa hivi anatamani kuchomoka huko ili kurudi ila mshkaji kafunga vioo vyote. Wajukuu wa Hawa mmeshindikana.
 
Karma.... Wewe pambana tu na hali yako mummie hata huyo x akikutafuta hawezi kuwa na upendo na wewe zaidi kama kichwa mbovu anaweza kukupa maumivu zaidi ya hayo uliyonayo sasa.
 
Aisee
 
Hii ni chaii,mtoa mada umeona utunge story mwishoni eti x wako alipata kazi TRA na mke mzuri.
Peleka izi hadithi facebook.
 
Iyo ni fimbo ya mapenz imekukolea
Mshangazi watoto 3 atakuoa nani
Umepotezatumaini masikini
Kaza moyo
 
Ukiwa unachukua story ya mtu unatuletea uwe una acknowledge ubunifu wake, bila ivo huo ni wizi
 
Malipo ni hapahapa, tupo na wewe hadi upate stress pumbavu zako. Umemletea kaka wa watu vidonda vya tumbo sababu ya kumfanyia vitukl pumbavu, na nilikuwa nakutafuta siku nyingi, naenda kumwambia Emma akublock kila kona. Vijana hawataki tena kututongoza kwa sababu yako wewe na tabia zako za kibinafsi, yeye alikupenda kwa dhati wewe ukamletea vitu. Hv jaman wanawake ni nini tunataka? Yaan na hii msg yako ndio itawasafanya chama chao cha kataa ndoa kikue kipate wanachama wapya pumbavu sasa wewe dada, nakujua vizuri na nakuombea ukose amani kabisaa. Nimechukia jamani kwa kweli yaani sijapenda hata hiyo kaz ya bank uligongwa ndio ukapewa najua ni kweli huwezi kukataa. Maisha mema ya majuto. Sasa hv ungekuwa na mme TRA na hv wana mishahara mizuri yaani ungekuwa na mme wako kabisa. Ila ukome kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…