Natamani ex wangu anitafute

Story yako ni nzuri but it is full of lies
 
Chai
 
Everything is about trading Mwanzoni uliona una trade Ila ukawa unapata loss so ukashindwa ku stick with your strategy so ukafanya kitu kinaitwa strategy hop yaani unatangatanga unatafuta holy grail.
Bana kweli ukapata fasta profit in short term ukapata pleasure and euphoria so ukaachana na plan yako ya kwanza.
Sasa in long run probability Ika play out ukakuta una lose mno na new strategy bana.
Ukapata maumivu ya losses Mana pnl ikawa minus all the time na your equity curve ikawa ni negative.
Unakumbuka Ile plan ya zamani kuwa mbona ilikuwa inanipa faida,
Kuja kuirudia tayAri ikawa haifanyi kazi Mana ishatumiwa na wengi wakajipatia faida so ikawa sokoni Haina mashiko.
Imebakia huna mbele Wala nyuma.uko Kama kitumbua tofauti ni mafuta tu.

KIUKWELI MALAIKA WA MTU NI MTU MWENYEWE NA SHETANI WA MTU NI MTU MWENYEWE,
Hata saivi ukimrudia na akapoteza kazi akakaa na wewe hata miaka kumi hana kazi bado tabia zako za Mwanzo zitarudi , ungemvumilia na ukamheshimu wakati anapitia magumu nakuambia ungekuja kula mema ya nchi.
Na bado utamuona akiwa kamishna ya tra I assure you.
Hali Kama iyo uliyomfanyia inampatia mno nguvu ya kusonga mbele,mie huwa natumiaga negative emotions kunisukuma mbele kupigana na life hili.
Nyie hamtaki kupoteza Bali ni faida tu, life is all about trading so you've to accept losses so that you can make profit aka ukitaka kula ukubali kuliwa hii ni kauli ya kibusara mno sema wengi wanaibeza
 
Yaliyopita yamepita, tulia angalia watoto wako, fanya kazi kwa bidii, weka malengo Yako mbele, Kati ya hao wanaume wawili wasahau kabisa, Kisha utaona maajabu, atakuja mtu na utashangaa utaanza maisha upya na yote utayasahau, achana na habar za kuwa mchepuko Hilo ni bomu jingine, bado una thamani ithamini itathaminiwa, Rudi kwa Muumba Wako omba masamaha kwake na mambo yatanyooka, sahau yaliyopita mapya yatakuja, Anza upya, watu wanahangaikia kazi wewe unayo, usihangaikie mapenzi yatakuja yenyewe Cha muhimu tulia utulizane Kila kitu kitakaa sawa. FUTA hizo kumbukumbu za hao watu wawili, ukirudi kwao basi utaishi kitumwa maisha Yako yote, jipe furaha maisha ni hayahaya hata kama ulikosea, hakuna mwanadamu asiye kosea Songambele dada. Haya yanatosha kwa leo.
 
Tatu bila Tatu bila, mebana umeachia 😂😂😅😅. Mpaka ligi iishe utakuwa na zaidi ya magoli 6-0.
 
Nilijua ni rubbish, ila ilivyofika kwa mapacha watatu, nikajua ni zaidi ya garbage
 
Kwakuwa umekiri kosa mbele ya Dunia na wadogo zako wanajifunza kupitia andiko lako MUNGU atakufanyia njia kama alivyowafanyia Wana wa Israel kuwatoa kwa farao na kuwapeleka katika nchi ya ahadi... Ukiwa Unamuamini MUNGU unaweza kunitafuta tufanye wote maombi amani Ya Bwana uwe pamoja iwe
 
Tena ukome na ACHA kufikiria kumtafuta kijana wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…