popie
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 801
- 577
Hili Sakata la Morrison natamani sana Tena sana yeyote iwe Simba au Yanga atakaekutwa na hatia achukuliwa hatua kali sana.
Yaani kama Yanga imeghushi saini ya Morrison inatakiwa ichukuliwe hatua stahiki hata kama ni kushushwa daraja, na Simba wakikutwa na hatia washushwe daraja ili tuweke heshima ya soka letu mambo ya ubabaishaji yasitokee tena Tanzania.
Yaani kama Yanga imeghushi saini ya Morrison inatakiwa ichukuliwe hatua stahiki hata kama ni kushushwa daraja, na Simba wakikutwa na hatia washushwe daraja ili tuweke heshima ya soka letu mambo ya ubabaishaji yasitokee tena Tanzania.