Natamani hawa wanatoa ushuhuda makanisani nipate ninayemjua toka zamani na shida yake

Natamani hawa wanatoa ushuhuda makanisani nipate ninayemjua toka zamani na shida yake

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Naomba niongee hili jambo mimi mara zote aidha naona kwa TV au kwenye gazeti au mara ingine ata kwenye mikutano mbalimbali ya dini ya awa wachungaji wanaoponesha watu na pia kuwainua kiuchumi na kimaisha.

Ila natamani sana kumpata mtu namjua naona akiwa pale mbele najua kabisa alikuwa kiwete miaka tele anapona au namuona kabisa mtu alikuwa tee, njaaa mara anaonesha funguo ya Subaru mbele pale na hati ya kiwanja au picha za nyumba, lakini karibu kila wanayofanya hivyo siwajui hapo ndio shida inapoanza sasa.
 
Naomba niongee hili jambo mimi mara zote aidha naona kwa TV au kwenye gazeti au mara ingine ata kwenye mikutano mbalimbali ya dini ya awa wachungaji wanaoponesha watu na pia kuwainua kiuchumi na kimaisha.

Ila natamani sana kumpata mtu namjua naona akiwa pale mbele najua kabisa alikuwa kiwete miaka tele anapona au namuona kabisa mtu alikuwa tee, njaaa mara anaonesha funguo ya Subaru mbele pale na hati ya kiwanja au picha za nyumba, lakini karibu kila wanayofanya hivyo siwajui hapo ndio shida inapoanza sasa.
Hutakuja kupata mtu unayemjua kuwa ni kiwete toka anazaliwa au alipata tatizo kwenye ukuwaji wake, kwamba ameombewa hadi akatembea
 
Hutakuja kupata mtu unayemjua kuwa ni kiwete toka anazaliwa au alipata tatizo kwenye ukuwaji wake, kwamba ameombewa hadi akatembea
Kwa Mungu yote yawezekana japo kwa manabii fake ni biashara
 
Naomba niongee hili jambo mimi mara zote aidha naona kwa TV au kwenye gazeti au mara ingine ata kwenye mikutano mbalimbali ya dini ya awa wachungaji wanaoponesha watu na pia kuwainua kiuchumi na kimaisha.

Ila natamani sana kumpata mtu namjua naona akiwa pale mbele najua kabisa alikuwa kiwete miaka tele anapona au namuona kabisa mtu alikuwa tee, njaaa mara anaonesha funguo ya Subaru mbele pale na hati ya kiwanja au picha za nyumba, lakini karibu kila wanayofanya hivyo siwajui hapo ndio shida inapoanza sasa.
Ukimpata unitag mkuu
 
Utawajuaje wakati na wenyewe ni wasanii na hiyo ndio namna yao ya kuishi, ukitaka kujua wajinga ndio waliwao kipindi cha Corona uliwaona hao wanaojiita manabii na mitume? Kuna watu mazuzu sana Tanzania, na ukitaka kuamini anzisha kijikanisa jiite sijui nai sijui utumbo gani utaona kinamama na mazee mengine yasiyojielewa yanavyojaa, utauza unga sukari, mawese kila kitu ita ni vya upako sijui vya kitu gani utapiga hela mpaka utashangaa
 
Naomba niongee hili jambo mimi mara zote aidha naona kwa TV au kwenye gazeti au mara ingine ata kwenye mikutano mbalimbali ya dini ya awa wachungaji wanaoponesha watu na pia kuwainua kiuchumi na kimaisha.

Ila natamani sana kumpata mtu namjua naona akiwa pale mbele najua kabisa alikuwa kiwete miaka tele anapona au namuona kabisa mtu alikuwa tee, njaaa mara anaonesha funguo ya Subaru mbele pale na hati ya kiwanja au picha za nyumba, lakini karibu kila wanayofanya hivyo siwajui hapo ndio shida inapoanza sasa.
Nasikitika kama utaweza mwona unamjua.. Maana nasisi tumeijua technologia...tunatafuta watu vijijini tunawapa mshiko, na kuwapa script za ushuhuda wa uongo.. Tunawachukua video na kwa technological ya green screen tunaedit tunairusha kwa TV... Wajina wanaona jamaa anatoabshuhuda madhabahuni... Ila ukija kanisani uamtafute humwoni... Yuko kyela.. Songwe huko vijini anajilia ndizi🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom