Natamani kufahamu zaidi kuhusu Jaji Lugakingira

Natamani kufahamu zaidi kuhusu Jaji Lugakingira

moyo wenye aman i

Senior Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
177
Reaction score
297
Katika pitapita zangu nikasikia watu waliokuwa wamekaa kijiweni wakimsifia Jaji aliyekuwa anaitwa LUGAKINGIRA kuwa alikuwa akisimama kidete kwenye nafasi yake bila kufuata maagizo au kuegemea upande wowote.

Naomba mwenye CV yake atuwekee hapa tafadhali
 
Yule aliyetala kuipindua serikali ya awamu.ya kwanza.alikuwa anaitwa Lugangira na siyo Lugakingira.
 
Katika pitapita zangu nikasikia watu waliokuwa wamekaa kijiweni wakimsifia Jaji aliyekuwa anaitwa LUGAKINGIRA kuwa alikuwa akisimama kidete kwenye nafasi yake bila kufuata maagizo au kuegemea upande wowote.

Naomba mwenye CV yake atuwekee hapa tafadhali
Alikuwa na mtoto wake nimesoma naye shule ya msingi oysterbay alikuwa anaitwa Mtabazi Lugakingira
 
Back
Top Bottom