Natamani kuichezea Azam FC

Natamani kuichezea Azam FC

Wakuu, mie nina miongo sita na ushee hivi.

Natamani niichezee Azam FC japo kwa kupewa posho tu kwa jinsi hali inavoonekana. Si ajabu hata nne bora tutakosa maana Ihefu (wanaojielewa sasa) wanakuja juu.

Inasikitisha.
Utakuta mtu anashabikia Azam
 
Hii timu inatitesa watu tuliokataa kurithi,mambo ya alilinunua babu mpaka mjukuu anamtumia,Azam fc kila kitu kipo lakini ni mtoto wa kishua anatamani kula Ugali na kachumbali.....bwana Yusuph sijuia kama yuko serious na mafanikio ya timu maana kama wanataka mafanikio makubwa wavunje benchi zima la ufundi pamoja na viongozi wote kina Popat, alete wazungu au wageni wasio na chembe ya ukariakoo na Kocha mwenye daraja la juu kama kina Ibenge. Hapo mpaka robo fainali ya Caf na kubeba Nbc premier league na kizazi chote cha 2000 kushabikia Azam fc.
 
Wakuu, mie nina miongo sita na ushee hivi.

Natamani niichezee Azam FC japo kwa kupewa posho tu kwa jinsi hali inavoonekana. Si ajabu hata nne bora tutakosa maana Ihefu (wanaojielewa sasa) wanakuja juu.

Inasikitisha.
Azam hawezi kukosa nne bora kwasababu ana alama 47 na anayemfatia ana alama 34 zikiwa zimebaki mechi tano. Azam anahitaji tu point 3.
 
Hii timu inatitesa watu tuliokataa kurithi,mambo ya alilinunua babu mpaka mjukuu anamtumia,Azam fc kila kitu kipo lakini ni mtoto wa kishua anatamani kula Ugali na kachumbali.....bwana Yusuph sijuia kama yuko serious na mafanikio ya timu maana kama wanataka mafanikio makubwa wavunje benchi zima la ufundi pamoja na viongozi wote kina Popat, alete wazungu au wageni wasio na chembe ya ukariakoo na Kocha mwenye daraja la juu kama kina Ibenge. Hapo mpaka robo fainali ya Caf na kubeba Nbc premier league na kizazi chote cha 2000 kushabikia Azam fc.
Umesema point sana mkuu
Wasiishie kumtoa kocha mkuu tu watoe bench zima la ufundi, na kwenye uongozi wawekwe watu wa soka kweli toka nje, Aje CEO mpya toka hata SA

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Hii timu inatitesa watu tuliokataa kurithi,mambo ya alilinunua babu mpaka mjukuu anamtumia,Azam fc kila kitu kipo lakini ni mtoto wa kishua anatamani kula Ugali na kachumbali.....bwana Yusuph sijuia kama yuko serious na mafanikio ya timu maana kama wanataka mafanikio makubwa wavunje benchi zima la ufundi pamoja na viongozi wote kina Popat, alete wazungu au wageni wasio na chembe ya ukariakoo na Kocha mwenye daraja la juu kama kina Ibenge. Hapo mpaka robo fainali ya Caf na kubeba Nbc premier league na kizazi chote cha 2000 kushabikia Azam fc.
Nadhani itasaidia. Angalia sasa mtu anakuwa mchezaji halafu kocha msaidizi hii inaelekea kukabidhiwa timu siku zijazo.
 
Tatu hapo hakuna. Hiyo nne ni manusura tu. Ngoja tuone.
Inawezekana kuna shida kubwa ndani ya hii timu....maana sio kawaida kabisa.

Angalia mechi kubwa na ngumu dhidi ya Simba na Yanga timu inapambana sana,lakini mechi na timu zingine wanacheza kama Wagonjwa kabisa....inawezekana ndani kuna uswahili unaendelea haiwezekani timu iitwe tajiri halafu ifanye madudu ya hivi.
 
Inawezekana kuna shida kubwa ndani ya hii timu....maana sio kawaida kabisa.

Angalia mechi kubwa na ngumu dhidi ya Simba na Yanga timu inapambana sana,lakini mechi na timu zingine wanacheza kama Wagonjwa kabisa....inawezekana ndani kuna uswahili unaendelea haiwezekani timu iitwe tajiri halafu ifanye madudu ya hivi.
Hili litakuwa tatizo la kiuongozi kwa maana wapo viongozi Simba na Yanga sasa wanatunishiana nguzu.
Bora uongozi wote ubadilishwe kwa kuwaweka wengine ikiwezekana watoke nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom