Natamani kuijua teknolojia ya kurusha makombora

Natamani kuijua teknolojia ya kurusha makombora

babuumzuri

Member
Joined
Sep 18, 2020
Posts
14
Reaction score
7
Habari zenu wadau,

Kuna technology mbalimbali hasa technology ya kuunda internet, technology kurusha kombora na rocket kupitia computer pia technology ya kuunda satelite na kuirusha angani.

Natamani na mimi kuwa miongoni mwa hao wenye ujuzi wa kuwa na hiyo technology ya kurusha ivo vitu na kuunda satelite,,
Naombeni mnisaidie kuniambia hao wenye huo ujuzi wamesoma course gani? Na je, iyo course inapatikana kwenye vyuo vyetu hapa nchini?? Na ni chuo gani kinatoa elimu bora kwa hiyo course hapa nchini?

Shukrani! naomba msaada wenu.
 
🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
Mpita njia hua haulizwi maswali mengi mimi napita tu
 
Tanzania millitary academy
Eneo:Monduli
Namna ya kujiunga kwa mwenye degree ni kujiandikisha kwa mkuu wa wilaya usikiapo tangazo la nafasi za kazi jeshini.
 
Teknolojia hiyo hapo pichani
tmp-cam--1098589657.jpg
 
Habari zenu wadau,

Kuna technology mbalimbali hasa technology ya kuunda internet, technology kurusha kombora na rocket kupitia computer pia technology ya kuunda satelite na kuirusha angani.

Natamani na mimi kuwa miongoni mwa hao wenye ujuzi wa kuwa na hiyo technology ya kurusha ivo vitu na kuunda satelite,,
Naombeni mnisaidie kuniambia hao wenye huo ujuzi wamesoma course gani? Na je, iyo course inapatikana kwenye vyuo vyetu hapa nchini?? Na ni chuo gani kinatoa elimu bora kwa hiyo course hapa nchini?

Shukrani! naomba msaada wenu.
Hizo technology hazifundishwi chuoni
 
Back
Top Bottom