Natamani kujiua



Adui mkubwa wa mwanamke sio mwanaume, bali ni mwanamke mwenyewe! Dada ulishajua ni mume wa mtu na bado unangangani! What did you expect out of it? Nilitegemea unegweza kuzishinda feelings zako na kuachana na mume wa mtu?

Unashangaa lililokupata? amwache mke wake kwa ajili ya uzuri wako? Unafikiri uzuri wa mwanamke ni kila kitu?

Pole sana. Pick up your pieces na uendelee na maisha. Umeshaona jamaa hayuko tayari kuvunja ndoa yake kwa ajili yako> next time, be more careful na wanaume, usikubali kupelekwa hoteli kila wakati, nenda kaone kwake, mbane awe close na transparent kwako.
 
Jifunze kuwa roho ya toba, kubali umekosea. Jivue gamba. Wewe ni wathamani sio chombo cha mtu cha kupumzikia halafu arudi kwa mke wake. Wakati ukifika Mungu atakupa mtu ambaye atakujali kukulinda na kukuwezesha kufikia malengo yako. Hata ku-hold kwa sababu anataka aendelee kukutumia tu hapana. Mta-share mipango ya maisha, atakufanya uweze ku-move stage moja kwenda nyingine. Hebu jifikirie tangia umekaa na huyo mume wa mtu amekusaidia nn? Ni kipi kipya ulichokipata? Zaidi ya tamaa za hii miili tu? Dah
 
Na akijiuliza hao wa kwanza walikuwa hawajaoa na wakamtosa ndio kabisaaaaaaaa, kweli vizuri haviliki, wiki hii ni maumivu tu kwa wadada wa jf
 
...hovyo kabisa huyo! bora ajiue tukamzike.
Mkuu ana huo uthubutu mimi naona anaongea tu ili watu wapate kumfariji
Bora umesema wewe dada
Halafu wanasema wanaume wa kuoa hamna wakati yeye yuko busy na mume wa mtu
 

Pole Kimada kwa kuwa hukujua ni mme wa mtu ila alivyokuambia ana mke hiyo ndo ilikuwa nafasi ya wewe kumuuliza uhusiano wenu anaenda wapi na kama kuna uwezekano wa wewe kuwa mke wapili au uchape lapa, siku nyingine wuwe unauliza hii kukaa kimya hailipi unakuwa hujui upo na mtu kwa ajili gani,
 


You have said it all.

Women, wake up and stop cheating yourselves eti mimi mzuri kuiko mkewe! Who told you so?
 

kwa kweli nasemaga nikimkuta mr na kimada ctamgusa kimada lakini wewe lazima ningekutwanga mangumi ya kichaga walaah tena.
 

Marriage material ndo wanakuwaje
 
...hata kumzika itakuwa tunampandisha daraja..afe tukamfukie! Ebo? Eti mzuri kuliko ...atayethubutu jinnadi hivi kwangu ajue kesha. Soulmate is number one.
 

Fanya hivi mi najitolea siku tujumuike pamoja na wewe ili akikupiga simu huyo mkewe naongea naye mimi .nitakachomueleza kama atarudia kuupigia atakupigia itakuwa ni kukuomba na yaishe.

So nasubiri pm yako kimada.



Mhhh, kuna kitu kimefichwa hapa!
 
haaaaa kweli kuishi kwingi ni kuona mengi
 
Ahaaa ahaaa Gaga naona atakuwa anatizama kwa sura tu hajajua purukushani za wife wa jamaa zikoje ndio maana ana brag sana
Umeona msichana naona hajui, bora kapewa mkwara wake wengine huwa wanakodi watu kabisa ili kumkomesha msichana aache kabisa mchezo huo
 
...hata kumzika itakuwa tunampandisha daraja..afe tukamfukie! Ebo? Eti mzuri kuliko ...atayethubutu jinnadi hivi kwangu ajue kesha. Soulmate is number one.
Hahahahahahaha umeshikwa umeshikika
 
Dada unaonekana umzuri lakini mambo adimu huna hahahahahahhhha,pole kula uzuri huo....umetumiwa kama pedi kwisha khabar yako

we shosti wewe,mswalie mtume!mwanamke mwenzio huyu!!
 
Wanawake warembo, wazuri, vigoli, visura hawaolewi. It is my general observation kwamba wanaume hatutaki ugonjwa wa moyo! Mwanamke ambaye a man cant resist ni ugonjwa wa moyo kwa mmewe! House makers ni ordinary women kama huyo mke wa jamaa anatoka na kurudi bila usumbufu barabarani. Beautiful women are for leisure! Ni juu yako wewe kuiprove hiyo nadharia kuwa ni wrong! Na hilo unaweza lifanya kwenye uhusiano wako utakao fuata. Achana na mme wa mtu. Badili namba za simu, usikurupukie uhusiano mpya! Nadhani unafahamu madhara ya rebound! Ukishampata mpya determine to keep him no matter what.
 
mh! Pole. Ukweli ndo huo kuwa huhitajiki tena. Hali ya kimaisha ya huyo mwanaume yaonekana imeshikiliwa na mkewe. Huwezi fanya kitu hapo. Utaumia moyo sana ila itafika muda yatapita. Mwaka unusu ni muda mchache sana. Hujachelewa kuwa na wako. Nyimbo 3 za jd zisikilize; usiusemee moyo, nitafanya, pamoja na huu mpya aloimba na blue.
 
usililie uzuri... lilia bahati bi dada...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…