umeshaambiwa kuwa ni mume wa mtu we bado kiguu na njia mpaka ofisini kwake...ili iweje sasa???????
we tulia utapata wako wa peke yako utulie nae.
halafu jua kuwa uzuri wa sura na umbo sio kila kitu...kuna kujiongeza kule uwanjani na zaidi tabia.
kuna watu na viatu huku duniani......Mungu akusamehe kwa kutumia uzuri wako vibaya. uzuri uko machoni mwa mtu anayekuangalia,waweza jiona mzuri kumbe yeye anamuona mkewe mzuri mara 100 yako.....tulizana tu na utubu,utapata akufaaye. Acha kabisa ligi na mke wa mtu.
m
ie ningependa ajiue ili atupunguzie baadhi ya wapumbavu duniani, kimada jiue mwaya.
Hahahaha Mkuu roger that...hata kumzika itakuwa tunampandisha daraja..afe tukamfukie! Ebo? Eti mzuri kuliko ...atayethubutu jinnadi hivi kwangu ajue kesha. Soulmate is number one.
Hahahahahaaaaaa hapo ndio ulitibua mpaka bi mkubwa akaanza kuchunguza kulikoni, ulipumbazika na penzi la mume wa mtu, ukajidanganya na kudhani hampendi mkewe, pole weeee ulikosea sana...wenzio hawawalalishi makwaoAsanteni kwa ushauri. Nitaufanyia kazi. Ila kumbukeni kuwa huyu mwanaume ni muislamu kwa hiyo nilijua fika kuwa atanioa. Na mara kwa mara alikuwa anaamia kwangu na kukaa hata siku mbili hivyo niliona kama hamna jinsi ya yeye kunitema. Nitajitahidi kumsahau.
huyo mume alikuwa akiku use,upande mwengine.umeepukika na mengi,ipo siku utapata wako.kuwa mzuri sio kigezo,w.me wengine hawaangalii uzuri peke yake.nina amini umejifunza kuwa mume wa mtu sio guarantee ya kuolewa au kudumu nae kimapenzi.
Hahahahahaaaaaa hapo ndio ulitibua mpaka bi mkubwa akaanza kuchunguza kulikoni, ulipumbazika na penzi la mume wa mtu, ukajidanganya na kudhani hampendi mkewe, pole weeee ulikosea sana...wenzio hawawalalishi makwao
Duh!! kwa hiyo tulioolewa wote makwisu?Wanawake warembo, wazuri, vigoli, visura hawaolewi. It is my general observation kwamba wanaume hatutaki ugonjwa wa moyo! Mwanamke ambaye a man cant resist ni ugonjwa wa moyo kwa mmewe! House makers ni ordinary women kama huyo mke wa jamaa anatoka na kurudi bila usumbufu barabarani. Beautiful women are for leisure! Ni juu yako wewe kuiprove hiyo nadharia kuwa ni wrong! Na hilo unaweza lifanya kwenye uhusiano wako utakao fuata. Achana na mme wa mtu. Badili namba za simu, usikurupukie uhusiano mpya! Nadhani unafahamu madhara ya rebound! Ukishampata mpya determine to keep him no matter what.
Kweli huyu hafai, mie yote niliyofanyiwa nayaona makubwa ila kulala hajawahi, angefanya hivo nahisi ningeandamana....aendelee na uamuzi wake tu ni mzuri kwa kwelindio mana mie naona tu huyu dada atekeleze tu nia yake ya kujiua....
Wazur walishakufa KIMADA hahahahah we wala huna uzuri wowote. We ulikuwa KIPOOZEO tu
Kafie mbali huko!!
meona eeee lijamaaa letu limeshikwa, i hope this one is for the bestHahahaha Mkuu roger that