Natamani kujiua

huyo mume alikuwa akiku use,upande mwengine.umeepukika na mengi,ipo siku utapata wako.kuwa mzuri sio kigezo,w.me wengine hawaangalii uzuri peke yake.nina amini umejifunza kuwa mume wa mtu sio guarantee ya kuolewa au kudumu nae kimapenzi.
 
umeshaambiwa kuwa ni mume wa mtu we bado kiguu na njia mpaka ofisini kwake...ili iweje sasa???????
we tulia utapata wako wa peke yako utulie nae.
halafu jua kuwa uzuri wa sura na umbo sio kila kitu...kuna kujiongeza kule uwanjani na zaidi tabia.

usimfariji huyu ndugu,ye kamwibia mwenzie kwa miaka afu ye apate wa kwake peke yake!?ukiiba wa wenzio na we wataiba wa kwako tu mdafada!we omba upate wako ili m-shee na wenzio wezi kama wewe!!usinune dadangu,ni kanuni tu;what goes around comes around!
 

You have said it all!
Kipimo ni yeye na matokeo yake umeyaona!
 
maelezo yako tu yanaonesha namna ulivyo na mtazamo finyu.
mwenzio msomi wewe ngumbaru,wapi na wapi.
 
Pole dada kwa yale yaliokukuta. Its not the end of the world my dear, bado una nafasi ya kufanya mabadiliko na kuishi vizuri kwa raha na Amani. Bado una nafasi ya kupata mwanaume mzuri ambaye mtaweza kuwa pamoja kimaisha. Huyo ni mume wa mtu let it go, na ushukuru Mungu umejua mapema wenzio wanagundua when its too late my dear wameshazalishwa na watoto! Badili your attitude my dear uzuri sio kila kitu vinginevyo utazidi ku attract waharibifu! Badili number kama watu wengine walivyoshauri, huyo mama anaweza kukudhuru wanasema mume anauma, so unapoendelea kumfuata fuata huyo bwana utampa mkewe sababu ya kuku harass! Its not wortht it mama, learn your lesson, pick your pieces and face the life ahead of you! Utubu pia kwa kutamani kufa, sio vizuri!
 
Kimada,kwa jinsi ulivyojieleza tu inaonyesha namna unavyoringia hiyo figure no 8,and trust me hamna mwanaume anayependa mwanamke anayeringa na ndio maana ameoa mwnamke simple,achana na mume wa mtu,tulia jipange acha maringo,muombe mungu utapata wako its never too late to start a new beginning.
 
...hata kumzika itakuwa tunampandisha daraja..afe tukamfukie! Ebo? Eti mzuri kuliko ...atayethubutu jinnadi hivi kwangu ajue kesha. Soulmate is number one.
Hahahaha Mkuu roger that
 
Hahahahahaaaaaa hapo ndio ulitibua mpaka bi mkubwa akaanza kuchunguza kulikoni, ulipumbazika na penzi la mume wa mtu, ukajidanganya na kudhani hampendi mkewe, pole weeee ulikosea sana...wenzio hawawalalishi makwao
 
kosa ulilolifanya ni kuendelea kuwa nae kimapenzi wakati uligundua ni mume wa mtu....
halafu ukampa moyo wako wote...
wakati alishakudanganya na hakua mkweli tokea mwanzo

na kosa la wanawake wengi wakidhania ndo watapendwa au wataolewa au mke halali ataachwa, wakati in reality wewe ni mapoozeo tu anakutumia then anakuacha... tena ushukuru hujamimbika ungemimbwa ndo ingekula kwako zaidi...

huyo ni mtu mzima mmekutana ukubwani hebu achana nae , ukishajiua unadhani itasaidia nini? watalia ndugu zako huyo mwanaume na mkewe maisha yao yanaendelea kama kawaida....

huwezi kumsahau mara moja lakini time heals, kama kuna vitu vyake unavyo choma moto, unaweza hama hapo unapoishi?(kama umepanga) hamia sehemu mpya kwa ufupi ondoa kumbukumbu zote ulizonazo juu ya huyo mwanaume.... delete namba yake ya simu, acha kumfuata ofsn. toka out with other girls have fun n enjoy life...

in time utamsahau tu....
halafu kumbuka cha mtu mavi..........kiepuke
 
huyo mume alikuwa akiku use,upande mwengine.umeepukika na mengi,ipo siku utapata wako.kuwa mzuri sio kigezo,w.me wengine hawaangalii uzuri peke yake.nina amini umejifunza kuwa mume wa mtu sio guarantee ya kuolewa au kudumu nae kimapenzi.

Huyu ni mgeni wa hii fani tu,
awafuatae wale wanawake magwiji wa kucheza huu mziki,
wa waume za watu, watamsaidia kumpa do's and dont's,
za hii gemu!!!
 
Hahahahahaaaaaa hapo ndio ulitibua mpaka bi mkubwa akaanza kuchunguza kulikoni, ulipumbazika na penzi la mume wa mtu, ukajidanganya na kudhani hampendi mkewe, pole weeee ulikosea sana...wenzio hawawalalishi makwao

ndio mana mie naona tu huyu dada atekeleze tu nia yake ya kujiua....
 
Unatamani kujiua na Mkewe anakutishia kukuua, bora ujimalize kabisa, shame on u, ndoa zetu hazina furaha sababu ya nyie waiba waume za watu, ulijua umepata kumbe ulipatikana nyambafu we
 
Duh!! kwa hiyo tulioolewa wote makwisu?
 
Wazur walishakufa KIMADA hahahahah we wala huna uzuri wowote. We ulikuwa KIPOOZEO tu

Kafie mbali huko!!
 
ndio mana mie naona tu huyu dada atekeleze tu nia yake ya kujiua....
Kweli huyu hafai, mie yote niliyofanyiwa nayaona makubwa ila kulala hajawahi, angefanya hivo nahisi ningeandamana....aendelee na uamuzi wake tu ni mzuri kwa kweli
 
:juggle:mwe we binti !!!!!!!???????tafuta wa kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…