Natamani kujiua




Wewe acha ushamba na ujinga wako huko, tena ujue unatuchafua sana wanawake wenzio, kwani unadhani akiwa muislam ndo lazima aoe wake zaidi ya mmoja? Kubali ushatumiwa, basi nenda katubu kwa muumba wako kwa kumkosea mwenzio heshima na kutumia mali ya mwenzio tena kwa wizi. Then njoo utuambie umebadilika tukushauri nini ufanye ili umpate aliye wako.
 
Wazur walishakufa KIMADA hahahahah we wala huna uzuri wowote. We ulikuwa KIPOOZEO tu

Kafie mbali huko!!

Unajua nini Uda'a,
unaweza kuta mkeo nae ni kipozeo cha njemba nyingine lol...
haya mambo bana.......................
 
KIMADA kumsahau itakuwa ngumu bora tuujifie zako kama unavyotaman. Maana usijekupata mwanaume mwingine siku akikuacha utataka kumuua yeye sasa...Wanaotaka kufa huwa hawasemi wanatenda tu fasta we mpka umekuja jf na kuandika gazet lote hilooo hahahahaha unalo!
 
Ukiwaona wale wauza sumu za panya na kunguni nunua halafu ukifika home chanaganya na juice kunywa. Haya matatizo ya kumlilia mume wamtu yatakwisha. Kila la kheri Kimada
 
Unajua nini Uda'a,unaweza kuta mkeo nae ni kipozeo cha njemba nyingine lol...haya mambo bana.......................
We bacha, mke tena??Bacha hujui mi ni mdada mwenye figure 8yaani ni mzur kweli hata huyu KIMADA hanifikii hahahahahahahahaha.Mi sifagilii hawa watu wanaiba waume Wa wenzao.
 
BADILISHA USERNAME MKUU....!unajiitaje KIMADA?
 
Ah it was bound to happen sooner or later, just be glad it happened now. Cha muhimu jipange upya na kuhusu huyo mkewe, yap- u may need to change your number for some few months. Ni kweli ulichemsha bila kujua but isikuvunje moyo. Amini there is a better someone waiting for you.
 
Achana na waume za watu wewe,huyo alikuwa anakuzuga tu akutafune,kashamaliza haja zate kakata kushoto.Tafuta wako wa kudumu.
 
We bacha, mke tena??Bacha hujui mi ni mdada mwenye figure 8yaani ni mzur kweli hata huyu KIMADA hanifikii hahahahahahahahaha.Mi sifagilii hawa watu wanaiba waume Wa wenzao.

usihofu Uda'a, najua kama wewe ni she,
lakini mie nilikuwa najiuliza tu hapa,
kuwa sijui mwanaume utajisikia vipi unapokuta mkeo,
nae ni kimada wa njemba nyingine!!!!!!lol...
 
Dearest wazuri walishakufa ungekuwa mzuri usingekuwa kwenye mawazo ya kujiua
uzuri wauona weye wengine hawajaona..............ondoa mawazo ulionayo kwanza ndio ujipange upya
 
yaaani mwanamke anaesema eti nimemtazama mkewe

haniingii hata nusu huwa namdharau mpaka basi

hivi huoni wenye sura na shepu za ukweli wakitafuta wanaume wa kuwaoa na hawapati??????????????????
 
Unatamani kujiua na Mkewe anakutishia kukuua, bora ujimalize kabisa, shame on u, ndoa zetu hazina furaha sababu ya nyie waiba waume za watu, ulijua umepata kumbe ulipatikana nyambafu we


Do!
kimada, Nyamayao na laussare can stone you to death!
 
usihofu Uda'a, najua kama wewe ni she,lakini mie nilikuwa najiuliza tu hapa,kuwa sijui mwanaume utajisikia vipi unapokuta mkeo,nae ni kimada wa njemba nyingine!!!!!!lol...
Ohh nimekusoma,Na hv wanaume roho nyepes km karatas..Lazima pachimbike...
 
aljunuuni funuuuni

kila mwendawazimu ana fani yake lol

The Boss, hiyo quote kali sana!..he he, sina la kuongeza!!

eti hanifikii hata nusu, utakuta libaya sura ka ng'ombe ila kwa nyuma tu ndiyo raha kumwangali kama ana hilo shepu 8.

jiue tu wengine wafurahie maisha..unapungua, wengine wanaongezeka!..
 
Kimada ni baadhi ya wale kina dada ambao wakisalimia dada habari huconclude kaambiwa dada we mzuri, akambiwa naomba date kwa mazungumzo zaid anatafsiri kaambiwa nakupenda, sasa akiambiwa nakupenda, yeye anaconclude kabisaaa kuwa kaambiwa nitakuoa!! We utafikiriaje kuwa kwa kuwa ni mwislamu anawezaoa wake wawili sijui, basi huyo wa pili ni wewe ???
 

yote tisa mj01
kumi aliposema et mkewe wa kawaida sana haniingii hata nusu...
hivi aliambiwa na nani wa kawaida huwa wanaachwa akitokea namba nane????
ivi definition ya wa kawaida ikoje???????kadanganywa na nani huyu lol
 


Mmmh!MJ1,
Bora leo umetoka na hii avatar, lol
ile nyingine nilikuwa naigwaya kweli,
lakini moyo ulikuwa mzito kusema!!!

Au kwakuwa KImada ana figure 8,
basi na wewe umeamua kutoka ki hivi......lol..
Congrats..................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…