Hata kama alikua muuza ngada lakini bado alitumia katika njia sahihi na atalipwa kwa kila alichokifanya kwa wema wake piaSawa marehemu hasemwi vibaya
Ila amini biashara yake iliyomtoa sio hiyo
Huyo alikuwa monster haswa nyuma ya pazia
Usidanganywe na kanzu
Pale magomeni kanisani alinusuruka...
'Hata kama alikua muuza ngada lakini bado alitumia katika njia sahihi'Hata kama alikua muuza ngada lakini bado alitumia katika njia sahihi na atalipwa kwa kila alichokifanya kwa wema wake pia
kwanini wewe ni mtu wa hukumu tu? kwamba hakuna watu waliotoboa maisha kwa njia za halali na kusaidia jamii ? ujuaji mwingine hauna msingi kiufupi si lazima tuone comment yako kila mahali muda mwingine busara huitajika zaidi kuliko emotions.Sawa marehemu hasemwi vibaya
Ila amini biashara yake iliyomtoa sio hiyo
Huyo alikuwa monster haswa nyuma ya pazia
Usidanganywe na kanzu
Pale magomeni kanisani alinusuruka...
kwanini wewe ni mtu wa hukumu tu? kwamba hakuna watu waliotoboa maisha kwa njia za halali na kusaidia jamii ? ujuaji mwingine hauna msingi kiufupi si lazima tuone comment yako kila mahali muda mwingine busara huitajika zaidi kuliko emotions.
basi tuonyeshe mabaya yake tuyajue , kumbuka hakuna asiye na mapungufu kama binaadamu kama alitenda mema kwanin yasizungumzwe alaf mbona unaumia hivi, kwema?Raynavero atalipwa kwa matendo mazuri?
Je mabaya?
Watanzania tuache unafiki huku tunajua ukweli
Unafiki haufai, kila mtu apewe sifa anazostahili
Huyo mtu mnavyompamba hadi malaika wanakasirika
umekunywa chai?Mimi sijajiita mjuaji wala mimi sio mjuaji
Ila nimecoment ninachojua
Kama imekuuma
Chukua jiwe zito funga shingoni nenda pale baharini ujindumbukize
Hakika kuna watu wameishi maisha yao katika mienendo ambayo inastaajabisha sana haswa katika ulimwengu huu wa sasa sikuwahi kumfahamu kwa ukaribu saana ila kifo chake kimeniskitisha mno hakika ni mfano wa kuigwa kwa jamii ya yetu Inna lillah waina illaih rajiun.
watu kama nyie deep down mna maumivu mno ambayo hujui nani akusaidie ndio mnaishia kua mashujaa nyuma ya keybord kujipa faraja this wont help you kabisa simamia panapohitaji usmamie sio unaletwa na emotions tu wakati huwez kujitetea acha kuishi kwa dhana tuMimi sijajiita mjuaji wala mimi sio mjuaji
Ila nimecoment ninachojua
Kama imekuuma
Chukua jiwe zito funga shingoni nenda pale baharini ujindumbukize
basi tuonyeshe mabaya yake tuyajue , kumbuka hakuna asiye na mapungufu kama binaadamu kama alitenda mema kwanin yasizungumzwe alaf mbona unaumia hivi, kwema?
hakika hujielewi mkuu sasa tatzo liko wapi kama alikua na pesa za kuwasaidia wengne why unaona taabu jaman kiufupi mola ameshachkua kiumbe chake ya kheri aliofanya hayatafutika milele kwa jamii nashangaa kwanin imekua big deal kwakoUkiwa mtoaji lazima utaombolezwa Mkuu
Hakuna asiyependa kusaidia ila kipato kidogo Ndio kinakwamisha
unafkiri lilikua duka la level ya akina mangi mtaani kwenu? ni busara ukauliza zaidi sio kujudge tu usiwe pingamizi pasi na uhakika.Mimi ilinibidi nicoment Baada ya wadau kusema alitajirika kupitia duka lake lile la vipodozi!
Hadi nikashituka
hakika hujielewi mkuu sasa tatzo liko wapi kama alikua na pesa za kuwasaidia wengne why unaona taabu jaman kiufupi mola ameshachkua kiumbe chake ya kheri aliofanya hayatafutika milele kwa jamii nashangaa kwanin imekua big deal kwako
watu kama nyie deep down mna maumivu mno ambayo hujui nani akusaidie ndio mnaishia kua mashujaa nyuma ya keybord kujipa faraja this wont help you kabisa simamia panapohitaji usmamie sio unaletwa na emotions tu wakati huwez kujitetea acha kuishi kwa dhana tu
upi? tuambie sasaSamahani Mkuu kama nimegusa maslahi yenu
Ila sikupenda nikae kimya wakati naujua ukweli
nna hakika humfahamu huyu mtu na unaongea kama una uhakika mie naheshimu mawazo yako mkuu lakin pale yanapostahili tu kwani ni wangapi wanaenziwa mpaka leo duniani pamoja na mapungufu yao kibinaadam.Big deal kivipi Mkuu
Mimi nimecoment kama walivyo comment wengine,Mbona umeniandama mimi?
Kosa langu ni lipi?
nna hakika humfahamu huyu mtu na unaongea kama una uhakika mie naheshimu mawazo yako mkuu lakin pale yanapostahili tu kwani ni wangapi wanaenziwa mpaka leo duniani pamoja na mapungufu yao kibinaadam.
mrangi ni noma hakuna habari za Town hajui ,iwe ya zamani au ya sasa ,Salute Kwake!!Nikitaka kukuita Ila nikamute nilijua tuuu unamjua. Salute.
Alikuwa pia akitoa misaada kwa jamii
Kuna msikiti uko nyuma ya tmj yeye aliujenga kwa Gharama zake mwenyewe, kwa kifupi jamaa hakuwa na mkono mfupi kama una line au shida ukimsemesha akikuelewa anakutoa
Kwa kifupi mm binafsi nlikuwa namjua tokea anakaa kwao msasani kitambo kile tokea anauza kwenye mgahawa wake badaye a kaingia kwenye biashara ya vipodozi Mara paap a kapiga sana Hela, alikuwa na team Ile ya kina sauli
Ova