Habari wapendwa, imekuwa ni kawaida na ndio naona ni kama style ya sasa kina dada kutongoza wanaume najiuli hivi ni wadada wangapi waliotongoza wanaume na wakafanikiwa kimapenzi.na wakaolewa na hao wanaume mpaka leo mapenzi yao yapo strong hata kama jf wapo embu njooni mtupe uzoefu wenzenu ambao hatujawai kufanya hivyo labda ni kwa ushamba au sio utamaduni karibuni MMU .
Mwambie ukweli kuwa unampenda au unatamani kuwa na awe baba wa watoto wako, ukishndwa onesha vitendo mfano. Mtumie picha mbali mbali za watoto au familia huku ukisindikiza picha hzo na ujumbe mzuri utashawish kuelewa lengo lako, ukishindwa pia anzisha urafiki tu wa kawaida then mdadisi fantasy yake kisha anzia hapo, ukishindwa pia tafuta ndugu au rafki anaelewana nae ujenge mazoe na huyo rafiki kisha utamtumia kufanikisha malengo yako
Cha muhimu ni kujiamini na usikilize moyo wako.
Fanya yafuatayo baada ya kufanikiwa kumpata
1. Unesha mapenzi kwa vitendo
2. Usiige maisha, ishi maisha yako ya kawaida tu
3. Usitamani visivyowezekana
4. Mpe ushauri wa maendeleo hasa mshaur juu ya kuwekeza na kujiendeleza kibiashara, kitaaluma na vingine vingi tu
5. Mtembelee kwake fanya shughuli ambazo hakutegemea kama utafanya
Hayo ni mawazo yangu
*** USITHUBUTU KUTUMIA WAGANGA KAMA UNA HAJA NA MAHUSIANO YA DHATI NA YA KWELI YENYE HAMANI NA FURAHA.
MTANGULIZE MUNGU KWA KILA JAMBO.
UKIFANIKIWA KUMPATA "USIBADILIKE"
kila lakheri