Sina familia mkuu, ila wewe ni kitu gani ukinyimwa utagoma?Hapa kwetu, usigome wala usishawishi watu wakagoma kama bado unapenda kuwa mtu huru na Kama bado unapenda ku log in humu JF kwa amani, mwisho wa siku janga likikufika lakufika pekeyako na familia yako
Sina familia mkuu, ila wewe ni kitu gani ukinyimwa utagoma?
patachimbikaSioni Kwakweli. Labda kidogo uwazuie kufatilia udaku na umbea kweny social networks!
Make mambo ya msingi twavumilia ata ikiwa ni kunyimwa dawa kuokoa maisha yetu!patachimbika
kweli aiseeMake mambo ya msingi twavumilia ata ikiwa ni kunyimwa dawa kuokoa maisha yetu!