Anafungua pochi mnawaleta wakina Sawadogo na Outarra, wachezaji wazito balaa.Mo anatakiwa apigwe hata 20 ili afungue pochi akanunue wachezaji😜😜😜😜😜
Basi gani,lile lililopo gareji mpaka leo hii?Simba atashinda kwa mkapa 2-0 kilicho baki ni umakini wa kupaki basi Morocco
Itabidi muishi na hao waliopo kwa Ile hotuba Mo hatanunua wachezaji zaidi ya hao alionunua I mean wa bei hiyoMo anatakiwa apigwe hata 20 ili afungue pochi akanunue wachezaji[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Bado sio team ya kubeza nashukuru sura ya kocha na wachezaji hawakuonesha bashasha kama mashabiki hii ilimaanisha wanajua upinzani watakaokutana naoRIVERS UTD mpinzani wa yanga.. msimu huu alikutana na Waydad casablanca katika second round ya ligi ya mabingwa africa.. matokeo yakawa Wydad 6 - Rivers 0. Ndio rivers akadondokea shirikisho ambapo kaunga unga kafika robo fainali anacheza na yanga
Nenda ukaombewe hii uliyonayo ni laana.Wazee mimi ni shabiki wa Simba Na mwanachama nimeangalia clip za hawa wydad Casablanca aisee nahisi goli si chini ya tano tunakula taifa,nataka iki kikombe kiniepuke nahitaji kukimbia nchi Kwa muda mpka aibu hii iishe