njujujr
JF-Expert Member
- Dec 29, 2017
- 684
- 468
Sipo kwa ajili ya majungu Huyu mtu mm naweza kumfananisha na simba wa kweli wa mikumi au hifadhi yeyote ile maana jamaa yupo kimya ila mambo yake sio haba first kumiliki nyumba sio kama cha mange pili sijawahi sikia kama anabiasha nyingine zaidi ya mziki na kumiliki vipindi kama mkasi na ngazi kwa ngazi kilichokuwa kikiendeshwa na salama jabir kwa anayemfahamu huyu jamaa mbali na mziki nn anafanya? Tafadhali usipojua kausha ukileta mapovu mm pia naweza kujibu hovyo ile kiukweli.
Mwenye kumfahamu plz labda tunaweza jifunza kwake
Mwenye kumfahamu plz labda tunaweza jifunza kwake