teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 137
Mouse simba huyoJamani kuna watu kama MKUDE SIMBA, BWAKILA, naishia kuwasikia kwenye audio peke yake nahitaji niwafahamu ikiwezekana kwa picha zao na majina yao halisi yakijumuishwa na majina ya uigizaji. Natanguliza shukrani
Jonas mkude midfield wa simba aaaaaJamani kuna watu kama MKUDE SIMBA, BWAKILA, naishia kuwasikia kwenye audio peke yake nahitaji niwafahamu ikiwezekana kwa picha zao na majina yao halisi yakijumuishwa na majina ya uigizaji. Natanguliza shukrani
Mkude simba ni kitaleJamani kuna watu kama MKUDE SIMBA, BWAKILA, naishia kuwasikia kwenye audio peke yake nahitaji niwafahamu ikiwezekana kwa picha zao na majina yao halisi yakijumuishwa na majina ya uigizaji. Natanguliza shukrani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ina maana hulijui li KITALE
Weka picha wengine hatumjui.Ina maana hulijui li KITALE
dah! umeniwahi mkuuPanjuani je ni nani?
Sijawahi kumsikiadah! umeniwahi mkuu
mi namkubali sana dr panju wa panjuani,
nimefanya sana kazi na wahindi, jamaa ananikumbusha mbali alafu anawapatia sana..
natamani sana kumjua
Hapana, Kitale ndo mkude simba na bwakila ni yeye mwenyewe... Characters wote wawili ni mtu mmoja
Na huo ndo uhalisia. Wote ni mtu mmoja. Stan bakora ni mjomba tu.Hapana, Kitale ndo mkude simba na bwakila ni yeye mwenyewe... Characters wote wawili ni mtu mmoja
Mkude simba+Bwakila=Kitale
yuko sana efmSijawahi kumsikia