Natamani kuoa mwanamke anaye drive

raffiki

Senior Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
160
Reaction score
44
Iwe gari yake au ya ofisi mie sijali>>>napenda :a s 12:kua na mke anaye drive
 
Halafu iweje?hao unaowaona wana drive unadhan nani anaweka wese?ingiza team utapalekwa petrol station petrol lita shs 2060 afu demu ana mark II six cylinder linakunywa wese kama limelaaniwa!tegeta posta elfu 20 taa inawaka!utatoka mbio mwenyewe.
 
Oa umpendae mfundishe kudrive
Huwezi mpeleke driving school mmmmhhh
 
daaah kaka unahtaji ushaur wa karibu na nahc ni saikolojiko tatizo! Try to thnk again b4 hujapata mke wa hvyo!
 
Wewe unadhani wamezaliwa wanadrive.Tafuta wako umpeleke shule ya kujifunza gari na umniunulie gari la kuendesha,ataendesha na moyo wako utasuuzika
 
mie na drive magari aina zote,bajaji, pikipiki, baiskeli, toroli sasa weye tu na roho yako
 
Usijali yupo pale konoike anaendesha lile la kushindilia je huyo?nikupe contact
 
kwani kuna kazi gani kama utaoa hafahamu kuendesha gari kisha ukamfundisha, au unataka kupiga na kuacha??.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…