mie na drive magari aina zote,bajaji, pikipiki, baiskeli, toroli sasa weye tu na roho yako
hahahahhahahahahah yaani nimecheka mpaka basi....hii kaliUmesahau PASADA (Ecomy car ) ni zile baiskeli zenye injini za pikipiki.
ufafanuzi tafadhaliBajaza?
Iwe gari yake au ya ofisi mie sijali>>>napenda :a s 12:kua na mke anaye drive
we nawe.....sasa ili iweje?