KERO Natamani kupata majibu kutoka TANESCO Chanika, Ilala kulikoni mnakata sana umeme huko? Shangazi yangu anaishi huko anadai umeme unakatika hata mara 10

KERO Natamani kupata majibu kutoka TANESCO Chanika, Ilala kulikoni mnakata sana umeme huko? Shangazi yangu anaishi huko anadai umeme unakatika hata mara 10

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
TANESCO Chanika, Ilala tunaomba ufafanuzi wa kwanini umeme unakatika sana Chanika mwisho pale eneo lote la Stand ya Mbagala

Nina shangazi yangu anaishi Chanika mwisho anadai umeme unakatika sana kiasi kwamba wakazi wengi wanachoshwa sana na hilo tatizo

Alinieleza umeme unakatika hata mara 10 kwa siku jambo lililonipa maswali mengi sana nikachukua hatua ya kutembelea eneo hilo

Nilikaa hapo kwa siku tatu kwasababu sikuamini mwanzo lakini niligundua ni kweli wala haikuwa uwongo

Umeme pale unakatika sana unaweza kufikia hata mara 10 kama alivyosema, unaweza kukatika na kurudi baada ya nusu saa, dakika 10, tano au hata masaa

Tungependa kufahamu ni ipi sababu kubwa ya tatizo hilo kwasababu wakazi wengi wa hapo hawajui chanzo cha tatizo
 
Inabidi uzidi kukata hata mara 20 ili watu shida ziwafanye wajitambue .
 
TANESCO Chanika, Ilala tunaomba ufafanuzi wa kwanini umeme unakatika sana Chanika mwisho pale eneo lote la Stand ya Mbagala

Nina shangazi yangu anaishi Chanika mwisho anadai umeme unakatika sana kiasi kwamba wakazi wengi wanachoshwa sana na hilo tatizo

Alinieleza umeme unakatika hata mara 10 kwa siku jambo lililonipa maswali mengi sana nikachukua hatua ya kutembelea eneo hilo

Nilikaa hapo kwa siku tatu kwasababu sikuamini mwanzo lakini niligundua ni kweli wala haikuwa uwongo

Umeme pale unakatika sana unaweza kufikia hata mara 10 kama alivyosema, unaweza kukatika na kurudi baada ya nusu saa, dakika 10, tano au hata masaa

Tungependa kufahamu ni ipi sababu kubwa ya tatizo hilo kwasababu wakazi wengi wa hapo hawajui chanzo cha tatizo
Tanesco wanapitia wakati mgumu sana
 
Hahahaha.. Chanika huku ndo umerudi tena muda si mrefu!! Hujui hata wakati gani umeme unaisha na wakati gani umekatika

Wapewe wawekezaji
 
Mimi nimeona sehemu nyingi tu kama ubungo,masaki na kinondoni unakata Kila siku.mwanzo tulidanganywa mradi wa JNHEPP ukikamilika hakutakuwa na kukatika Kwa umeme lakini imekuwa kinyume chake
 
Mimi nimeona sehemu nyingi tu kama ubungo,masaki na kinondoni unakata Kila siku.mwanzo tulidanganywa mradi wa JNHEPP ukikamilika hakutakuwa na kukatika Kwa umeme lakini imekuwa kinyume chake

JNHPP inafanya uzalishaji tu.

Tatizo la Tanesco lipo kwenye miundombinu ya kusafirisha na kusambaza umeme, mingi ni ya zamani imeshachoka
 
Mimi nimeona sehemu nyingi tu kama ubungo,masaki na kinondoni unakata Kila siku.mwanzo tulidanganywa mradi wa JNHEPP ukikamilika hakutakuwa na kukatika Kwa umeme lakini imekuwa kinyume chake
Hatari sana
 
TANESCO Chanika, Ilala tunaomba ufafanuzi wa kwanini umeme unakatika sana Chanika mwisho pale eneo lote la Stand ya Mbagala

Nina shangazi yangu anaishi Chanika mwisho anadai umeme unakatika sana kiasi kwamba wakazi wengi wanachoshwa sana na hilo tatizo

Alinieleza umeme unakatika hata mara 10 kwa siku jambo lililonipa maswali mengi sana nikachukua hatua ya kutembelea eneo hilo

Nilikaa hapo kwa siku tatu kwasababu sikuamini mwanzo lakini niligundua ni kweli wala haikuwa uwongo

Umeme pale unakatika sana unaweza kufikia hata mara 10 kama alivyosema, unaweza kukatika na kurudi baada ya nusu saa, dakika 10, tano au hata masaa

Tungependa kufahamu ni ipi sababu kubwa ya tatizo hilo kwasababu wakazi wengi wa hapo hawajui chanzo cha tatizo
Ahamie Oyster Bay, huko Umeme haukatwi
 
Nilipo mimi umekatika asubuhi saa nne, umerudi jioni saa moja. Sasa mbili umekatika hadi ninavyoqndika hapa hakuna umeme.
 
Back
Top Bottom