Natamani kupata shamba kwa ajili ya kulima mbogamboga na matunda

Natamani kupata shamba kwa ajili ya kulima mbogamboga na matunda

Nyam

Senior Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
134
Reaction score
72
Habari zenu wanajf, ningependa kufahamu mahali ambapo nitaweza kupata shamba kwa kununua ambalo linaweza kumudu kilimo cha matikiti maji au hata mboga za majani,karoti, bilinganya na hoho..Mimi naishi Dar..Nahitaji kujikwamua kimaisha.
Natanguliza shukrani zangu za dhati..
 
Habari poa... Kuna shamba linauzwa lipo maeneo maeneo ya yombo mpera km sikosei mbele ya Chamazi
Lina ukubwa wa heka 3
Offer yake 16 milln
 
Mkuu Nyam nimekuwa nikiuza shamba la ekari17 limezungukwa na mto kwa 70%. Pale kila kitu kinastawi kwa uzuri kabisa. Price yake ni milioni 8 tshs with slight negotiations strictly to a serious buyer.
Shamba lipo Turiani 300km from DSM.
Search humu ndani uzi wenye title "Shamba zuri linauzwa" na ukitaka kujiridhisha mandhari ya shamba, tembelea facebook kwa a/c ya tatee mukuru ujionee picha zake.
Karibu sana mkuu wangu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nyam nimekuwa nikiuza shamba la ekari17 limezungukwa na mto kwa 70%. Pale kila kitu kinastawi kwa uzuri kabisa. Price yake ni milioni 8 tshs with slight negotiations strictly to a serious buyer.
Shamba lipo Turiani 300km from DSM.
Search humu ndani uzi wenye title "Shamba zuri linauzwa" na ukitaka kujiridhisha mandhari ya shamba, tembelea facebook kwa a/c ya tatee mukuru ujionee picha zake.
Karibu sana mkuu wangu.
Kwa mfano nikiwa na iwezo wa kununua ekari 2 badala ya hizo 17 inawezekana? Tatizocuchumianaoatizo Ndo kwanza naanza kujiinua....
 
Last edited by a moderator:
Kwa mfano nikiwa na iwezo wa kununua ekari 2 badala ya hizo 17 inawezekana? Tatizocuchumianaoatizo Ndo kwanza naanza kujiinua....

Nakukaribisha mkuu wangu uje ulione kwanza shamba lenyewe na ndipo tutapata wasaa mzuri wa kukumegea huu utajiri!
 
ImageUploadedByJamiiForums1404928326.470053.jpg
Shamba Hilo nenda PM liko Moro
 
kuna shamba linauzwa ni kilomita km kama 30 toka Mbagala liko safi kwa kilimo unachotaka@ nyam
 
Habari zenu wanajf, ningependa kufahamu mahali ambapo nitaweza kupata shamba kwa kununua ambalo linaweza kumudu kilimo cha matikiti maji au hata mboga za majani,karoti, bilinganya na hoho..Mimi naishi Dar..Nahitaji kujikwamua kimaisha.
Natanguliza shukrani zangu za dhati..
pm me for a shamba which is in Dar and cheap
 
Back
Top Bottom