Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Natamani ila..Venye kupenda maradhi ya moyo...ntampenda naniHutamani kupenda??
Kujifunza kupenda ilikuaga zamani kwa wazazi wetu sababu walifundishwa hivyo. Tupendane kwanza huku uraiani ili tukiingia kifungoni iwe rahisi kuvumiliana.Hiyo ni mbaya kuliko heri kufa na kutu kuliko kwenda tu eti utajifunza kumpenda
Mkwe nakusabahi!Im impressed kwa hili if its really running on your veins, nachukia mwanamke malaya. Chanzo kikubwa ni kutokuwa na msimamo wa kusema hapana ukiwa tayari na mahusiano mengine
Nimeolewa kwenye ndoa ya kujifunza kupenda nayajua mateso yake, usijaribu, nenda polepole utapata hitaji lako mama, all the bestKujifunza kupenda ilikuaga zamani kwa wazazi wetu sababu walifundishwa hivyo. Tupendane kwanza huku uraiani ili tukiingia kifungoni iwe rahisi kuvumiliana.
Hakuna binadamu asie na mapungufu ndio maana kwako waweza ona ni zito halivumiliki ila kwa mwenzio sawa tu.Ujue girls ni wa ajabu mzee baba, ET anajipima mwenyew kwamba mapungufu yake yanavumilika wakat kwa wengin ni maumivu tu...! Nimecheka Kwan amenikumbusha girl wangu kanilitea upuuzi mwingi last month nimekaa kimya Mara kaweka status WATS up ET huwez kumwacha mtu unaye mpenda ata Kama kafanya mia moja ya kukukatisha tamaa ila utatafuta sababu moja ya kuwa nae, kha!!!! Ni Kama huyo yan mapungufu yao wanaona yanavumilika
Hahaahhaa.... utapenda tena tuu.. nilivyoachana na bf wangu wa kwanza sikujua kama ningekuja kupenda tena, ila nilipenda na nikamsahau kabisa, huyu wa pili nae maisha hayakua fair kwetu naangalia wa kumpenda tena maana najua ntampata tatizo ni lini.Natamani ila..Venye kupenda maradhi ya moyo...ntampenda nani
Hapana sio kujilipua mtu akikupenda jipe muda wa kumchunguza je ataendana na wewe kama ataendana na wewe ndio ukubali kupendwa na sio kila unaempenda wewe atakuwa ndio mwenyewe hizo nazo ni bahati nasibuHuko ndio kujilipua sasa..
Kweli kabisa mama. Utaishi maisha ya masononeko balaa. Mwisho uanze na mivhepuko uivuruge familia.Hiyo ni mbaya kuliko heri kufa na kutu kuliko kwenda tu eti utajifunza kumpenda
Awe na subira yupo atakaeendana naeKweli kabisa mama. Utaishi maisha ya masononeko balaa. Mwisho uanze na mivhepuko uivuruge familia.
Time will tell... I like that spirit...saa zingine naona mara mia girls wa ughaibuni..maana sio pasua vichwa sana [emoji23]Hahaahhaa.... utapenda tena tuu.. nilivyoachana na bf wangu wa kwanza sikujua kama ningekuja kupenda tena, ila nilipenda na nikamsahau kabisa, huyu wa pili nae maisha hayakua fair kwetu naangalia wa kumpenda tena maana najua ntampata tatizo ni lini.
Hujawahi kuona watu ni wachumba tu au wakati mwingine hata uchumba hawajafikia ila wanapendana sana na kila mmoja anajua tabia za mwenzakeKujifunza kupenda ilikuaga zamani kwa wazazi wetu sababu walifundishwa hivyo. Tupendane kwanza huku uraiani ili tukiingia kifungoni iwe rahisi kuvumiliana.
Umesema hakuna aliokuvutia katika pitapita zako. Bila shaka kila mtu kuna kitu kinachomvutia. Sasa mwenzako anavutiwa na chura hio, na wengine wanavutiwa na uzuri. Hebu weka picha watu wakuone basi atakaevutiwa atajitokeza kama vile wewe ulivokuwa hujavutiwa unawapotezea basi na hapa watakupotezea.Sifa ya nini? Chura ipo sema hii ni tatizo sababu hata kama mtu hana mpango na mimi unakuta anakuja kumbe kafuata chura tu. Sitak mwanaume aje kwangu sababu ya chura au uzuri, nataka anipende nilivyo
Ndo maisha lakini mkuu..Hujawahi kuona watu ni wachumba tu au wakati mwingine hata uchumba hawajafikia ila wanapendana sana na kila mmoja anajua tabia za mwenzake
Huyu ni mchepukaji sana halafu unasema utaingia kwenye ndoa ataacha
Hii sio kweli ataendekeza tu hata akiwa kwenye ndoa huko
Ndio maana nimesema ukipendwa mchunguze ukiona tabia zake zitaendana na wewe unavyotaka mpende pia usisubiri upende kwa sababu utakaempenda anaweza asikupende pia akakutumia tu na baadae akakubwaga ukabaki unalia tu
Unataka nitekwe mkuu?Umesema hakuna aliokuvutia katika pitapita zako. Bila shaka kila mtu kuna kitu kinachomvutia. Sasa mwenzako anavutiwa na chura hio, na wengine wanavutiwa na uzuri. Hebu weka picha watu wakuone basi atakaevutiwa atajitokeza kama vile wewe ulivokuwa hujavutiwa unawapotezea basi na hapa watakupotezea.
π π π umeudhi sirikali kwani? usiogope usalama wa taifa umeongezeka kwa kasiUnataka nitekwe mkuu?