Masanilo Platinum Member Joined Oct 2, 2007 Posts 22,286 Reaction score 4,523 Dec 6, 2010 Thread starter #41 MUSINGA said: du fataki limefanana na Mganyizi Click to expand... Nilikuwa sijui Muganyizi ni FATAKI!
MUSINGA said: du fataki limefanana na Mganyizi Click to expand... Nilikuwa sijui Muganyizi ni FATAKI!
Kimbweka JF-Expert Member Joined Jul 16, 2009 Posts 8,597 Reaction score 1,690 Dec 11, 2010 #42 Rev Masanilo said: Jamani nimeona hawa jamaa wanafaidi sana! Sijui hii fani ya ufataki inasomewa wapi nipeleke applications walau nitumiwe application form ili niweze peleka bodi ya mikopo. Ushauri wapwaz Click to expand... eeeh mkuu naona mambo yamekunyookea kifedha umeshanza kuwakumbuka wanafunzi eeeh Lakini kumbuka mafataki ni ngumu sana kufanikiwa malengo yao
Rev Masanilo said: Jamani nimeona hawa jamaa wanafaidi sana! Sijui hii fani ya ufataki inasomewa wapi nipeleke applications walau nitumiwe application form ili niweze peleka bodi ya mikopo. Ushauri wapwaz Click to expand... eeeh mkuu naona mambo yamekunyookea kifedha umeshanza kuwakumbuka wanafunzi eeeh Lakini kumbuka mafataki ni ngumu sana kufanikiwa malengo yao
Emanuel Makofia JF-Expert Member Joined Jan 5, 2010 Posts 3,832 Reaction score 635 Dec 11, 2010 #43 Mamushka said: Jamani kakaangu umekosa cha kutamani. Click to expand... Anataka kuwa lamabalamba a.k.a onjaonja kama chungu ataacha kama tamu anaongeza gia!
Mamushka said: Jamani kakaangu umekosa cha kutamani. Click to expand... Anataka kuwa lamabalamba a.k.a onjaonja kama chungu ataacha kama tamu anaongeza gia!