ngorombo
Member
- Jun 7, 2019
- 60
- 201
Habari wakubwa kwa wadogo. Awali ya yote nipende kumshukru Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya uhai, Maisha, pia zawadi ya kkutanishwa na watu mbalimbali, wenye mawazo mbalimbali, na mitazamo mbalimbali.
Kama kichwa cha thread kinavyo jieleza hapo juu.
Mimi nikijana niliye pata Elimu hadi kidato cha pili, mzaliwa wa mkoa wa Ruvuma, wilaya ya Mbinga mjini. Kutokana na hali ngumu ya maisha nililazimika kusitisha masomo, kwasababu ya ya ukosefu wa vitu msingi katika safari hiyo ya kielimu.
Kusitisha kwangu kwa elimu ya secondary, ilikuwa ni wazo nzuri ,ambalo nilikuwa nimefikiria litanisaidia katika kutatuta changamoto binafsi;kama chakula, maradhi na mavazi bila kusahau.
Nipo mtaani kwa miaka miwili sasa, nikiwa na jishughulisha na shughuli mbalimbali kama vile; saidia Ufundi ujenzi, kufanya vibarua kwenye mashamba ya watu, na shughuli zingine nyingi.
Kwa hiki kipindi cha miaka miwili nimeweza kupata kiasi kidogo cha pesa, ambacho kimenisaidai, pia nafikiri kitanikidhi katika baadhi ya mambo.
Nimekuwa nikifanya hizo shughuli kwa kipindi hicho chote, lakini sijawahi kuwa na furaha ya moyo. Dhairi, naona kuna kitu kimekosekana katika mimi. Hivyo, imenifanya nikafanya tafakari ya kina nika gundua itakuwa vizuri kama nikipata ujuzi wa kuwa fundi wa magari.
Kama nilivyotanguliza mwanzoni mwa uzi huu, ya kwamba jamii forum ni mahala sahihi, na watu sahihi, watakonisaidai kunipatia mwongozo au ushauri mwingine, wanini nifanye na vitu gani vinahitajika. Pia, kama kuna aina za huo ufundi.
Nimechagua ujuzi huo, kwasaababu nikitu nilikuwa nimekipenda toka nikiwa katika udogo wangu na ukubwa wangu. Nawaza kuwamwenye furaha kama nia na malengo yangu yatatimia.
Msaada wenu wa mawazo ni msingi wa mimi kuwa mimi, kwasababu bado sijawa mimi.
Kwa wale nitako wahudhi kwa mwandiko mchafu I'm very sorry in advance.
Kama kichwa cha thread kinavyo jieleza hapo juu.
Mimi nikijana niliye pata Elimu hadi kidato cha pili, mzaliwa wa mkoa wa Ruvuma, wilaya ya Mbinga mjini. Kutokana na hali ngumu ya maisha nililazimika kusitisha masomo, kwasababu ya ya ukosefu wa vitu msingi katika safari hiyo ya kielimu.
Kusitisha kwangu kwa elimu ya secondary, ilikuwa ni wazo nzuri ,ambalo nilikuwa nimefikiria litanisaidia katika kutatuta changamoto binafsi;kama chakula, maradhi na mavazi bila kusahau.
Nipo mtaani kwa miaka miwili sasa, nikiwa na jishughulisha na shughuli mbalimbali kama vile; saidia Ufundi ujenzi, kufanya vibarua kwenye mashamba ya watu, na shughuli zingine nyingi.
Kwa hiki kipindi cha miaka miwili nimeweza kupata kiasi kidogo cha pesa, ambacho kimenisaidai, pia nafikiri kitanikidhi katika baadhi ya mambo.
Nimekuwa nikifanya hizo shughuli kwa kipindi hicho chote, lakini sijawahi kuwa na furaha ya moyo. Dhairi, naona kuna kitu kimekosekana katika mimi. Hivyo, imenifanya nikafanya tafakari ya kina nika gundua itakuwa vizuri kama nikipata ujuzi wa kuwa fundi wa magari.
Kama nilivyotanguliza mwanzoni mwa uzi huu, ya kwamba jamii forum ni mahala sahihi, na watu sahihi, watakonisaidai kunipatia mwongozo au ushauri mwingine, wanini nifanye na vitu gani vinahitajika. Pia, kama kuna aina za huo ufundi.
Nimechagua ujuzi huo, kwasaababu nikitu nilikuwa nimekipenda toka nikiwa katika udogo wangu na ukubwa wangu. Nawaza kuwamwenye furaha kama nia na malengo yangu yatatimia.
Msaada wenu wa mawazo ni msingi wa mimi kuwa mimi, kwasababu bado sijawa mimi.
Kwa wale nitako wahudhi kwa mwandiko mchafu I'm very sorry in advance.