Natamani kuwa mwanachama wa CCM mwenye vigezo vya kuwa kiongozi mkubwa, utaratibu ukoje?

Natamani kuwa mwanachama wa CCM mwenye vigezo vya kuwa kiongozi mkubwa, utaratibu ukoje?

neno ni upanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2022
Posts
494
Reaction score
1,656
Habari wakuu!

Kutokana na kazi nzuri inayofanywa na serikali ya chama tawala natamani kuwa mwanachama kamili mwenye kadi na hatimae niwe kiongozi ndani ya chama. Sijui nianzie wapi, sina connection yoyote, naomba mwenye connection please!

1719649476859.png
 
Hapo ulipo nenda kwenye ofisi za chama cha Mapinduzi zilizo karibu nawe naamini na nafikiri watakupa mamiongozo.
 
Habari wakuu!

Kutokana na kazi nzuri inayofanywa na serikali ya chama tawala natamani kuwa mwanachama kamili mwenye kadi na hatimae niwe kiongozi ndani ya chama. Sijui nianzie wapi, sina connection yoyote, naomba mwenye connection please!

1. Anza tabia za uzulumati,
2. Kuwa muongo muongo
3. Kuwa mnafiki wa kiwango cha PhD
4. Anza kufisadi mali za umma mdogo mdogo
5. Kuwa chawa wa viongozi na mtetezi wa viongozi wanapouza mali za umma
6. Toa kauli za wapinzani wauawe
7. Itisha vyombo vya habari useme Samia ni mungu na yuko sawa na Mtume Muhamad na Yesu
 
Habari wakuu!

Kutokana na kazi nzuri inayofanywa na serikali ya chama tawala natamani kuwa mwanachama kamili mwenye kadi na hatimae niwe kiongozi ndani ya chama. Sijui nianzie wapi, sina connection yoyote, naomba mwenye connection please!

Anzia kwenye mtaa wako, kachukuwe kadi anza kujishughulisha na kazi za chama hapo hapo, jichanganye, yatajipa.
 
Habari wakuu!

Kutokana na kazi nzuri inayofanywa na serikali ya chama tawala natamani kuwa mwanachama kamili mwenye kadi na hatimae niwe kiongozi ndani ya chama. Sijui nianzie wapi, sina connection yoyote, naomba mwenye connection please!

Je, unayo 'matunguli ya uchawi' ya kutosha ya kukuwezesha kujibu mapigo wakati utakapojaribiwa?????
Kama hauna, Mimi nakushauri Usithubutu kukurupuka na kujiunga na Siasa, kaa mbali na Siasa.

Usiwaone wapo wanatembelea magari makubwa ya gharama za kufuru, wengi wao Wana 'mahirizi' makubwa yanayopumua Kama mtu aliyekimbia riadha ya kilomita hamsini kwa saa, hirizi wamevaa viunoni mwao.

Sikushauri kabisa kwamba ujiunge na Siasa.
 
Anzia kwenye mtaa wako, kachukuwe kadi anza kujishughulisha na kazi za chama hapo hapo, jichanganye, yatajipa.
Kwa nini kama chama wasimtafute?
Hawapo kwenye mitandao?

Mtu ameonesha nia yake nzuri kwenye platform ya wazi namna hii? Kama chama kingekuwa na watu smart kingemfuatilia hapa na kuona kwa namna gani wanaweza kumgroom ili aje kuwa kiongozi mzuri
 
Habari wakuu!

Kutokana na kazi nzuri inayofanywa na serikali ya chama tawala natamani kuwa mwanachama kamili mwenye kadi na hatimae niwe kiongozi ndani ya chama. Sijui nianzie wapi, sina connection yoyote, naomba mwenye connection please!

Kwa hiyo nawe umekwishaibeba roho ya shetani, unataka maelekezo ya namna ya kupokelewa na mashetani wenzako?

Umeingiwa na shetani la kupenda ufisadi, rushwa, mauaji na utekaji?

Nenda Arusha ukasajiliwe rasmi kwenye lile kundi la kuteka na kuua watu. Bashite anasema nafasi hazijajaa, na orodha yake ya watu wa kutekwa bila shaka bado ni ndefu.
 
Back
Top Bottom