Natamani mapacha.

Natamani mapacha.

Switone

Senior Member
Joined
May 9, 2013
Posts
120
Reaction score
47
Natamani sana kupata watoto mapacha ila kwenye familia yangu na ya mume wangu hamna mapacha..But nlisikia uwezekano wa kupata upo..Plz nijuzeni kuhusu hilo.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Huwezi kupanga kupata mapacha lakini uwezekano huongezeka kama kwenye ukoo hasa kama mama yako au nyanya yako upande wa mama alishazaa mapacha na zaidi wale wasiofanana (fraternal twins) unaweza kuwa umerithi gene ya kupevusha mayai kwa wingi (hyperovulation gene).

Dawa za kupevusha mayai (clomiphene) huongeza pia uwezekano wa kupata mapacha kwani zinaweza kusababisha upevushaji wa zaidi ya yai moja.

Wengine wanasema uzito mkubwa pia huongeza chance ya kupata mapacha. Pia kuzaa ukiwa na umri mkubwa (kama 45) huongeza uwezekano.
 
ikishindikana, pata mapacha wa nje uzae kwa kufuatana....
 
wat if mama na baba wote ni pacha na m the first born alafu kwetu hakuna pachasi kuna uwezekano wa mie kupata??
 
subiri usizae mapema..hadi ukaribie umri mkubwa posibility inakuwa kubwa ya kuzaa mapacha...Pia waweza kutumia feltilization Pills ie Clomephene Citrate,kwani hufacilitate zoezi la upevushaji tho sometimes unaweza kujikuta watotoa hata nane..so ukinywa ujiandae kwa yote
 
hizo dawa za kupevusha clomiphere zinauzwa wapi na je zinahitaji cheti cha daktari? zinaaminika?
 
Back
Top Bottom