subiri usizae mapema..hadi ukaribie umri mkubwa posibility inakuwa kubwa ya kuzaa mapacha...Pia waweza kutumia feltilization Pills ie Clomephene Citrate,kwani hufacilitate zoezi la upevushaji tho sometimes unaweza kujikuta watotoa hata nane..so ukinywa ujiandae kwa yote