Smart wapi? Mbona anaonekana kabisa ni psychopath case?
Huo ni mtizamo wako
Mimi namfahamu amekuwa waziri wa sheria na katuba under President Kibaki.
Alijizolea umaarufu alipokuwa team Kibaki kwenye kikao cha usuruhishi Kufuatia machafuko baada ya uchaguzi wa mwaka 2017.
Pannel ya usuruhishi ilikuwa na viongozi mashuhuri na marais wastaafu chini ya uwenyekiti wa hayati Koffi Annan.
Martha Karua akiwa team Kibaki alimuuliza Koffi Annan swali tata mpaka mzee wa watu akakosa majibu mazuri.
Hii ilikuwa ni baada ya one of the pannelist ambae alikuwa Rais mstaafu wa nchi fulani kuongea kwa kujiamini sana huku akijaribu kuwabana team Kibaki katik mgogolo huo.
Hapo ndipo Martha Karua alimuuliza mwenyekiti kuwa huyo msemaji aliteuliwaje kuingia kwenye team ya usuruhishi wakati hana moral strength ya kuzungumzia jambo lolote kuhusu machafuko wakati yeye alisababisha machafuko nchini mwake yaliyosabisha mauaji na kupelekea watu kukimbia nchi na kutoa mfano kuwa wakimbizi wengine wanahifadhiwa nchini Kenya kwenye kmbi za shimoni na Dadaab.
Akaendelea kusema kuwa pamoja na machafuko, Kenya haina wakimbizi kama ilivyo kwa nchi jirani bali ina displaced people.
Mzee wa watu alipoteza confidece na hakuwahi kuchangia chochote tena mpaka mwisho vikao vya usuruhishi.
Wakati huo team Odinga ilikuwa na Ruto,Profesa Anyan'ga nyon'go na wengineo
Huyo ndiye Martha Karua nimjuwae.