Nina umri wa miaka 30, nimezaa mara mbili ila nina mtoto mmoja wa miaka 10, mwingine amefariki. Tatizo nililonalo ni kutopata ujauzito. Napata hedhi kwa mzunguko wa kawaida ila naweza nikaingia siku moja tu kwa mwezi halafu naanza kuona dalili za ujauzito kama kuvimba maziwa, moyo kwenda mbio lakini nikipima sioni mimba.
Nishaenda Hospitali nikaambiwa labda ni homon wakanipa dawa za baada ya muda nikapata mimba, siku niliyogundua nina mimba usiku wake tumbo likauma sana kufika asubuhi damu ikaanza kutoka nikaenda hospitali, wakasema ninywe amoxln nikanywa tumbo likapoa Lakini cha kushangaza baadae nilipopima mimba ikawa negative.
Dr nishauri nifanyeje, nina hamu ya mtoto.
Nishaenda Hospitali nikaambiwa labda ni homon wakanipa dawa za baada ya muda nikapata mimba, siku niliyogundua nina mimba usiku wake tumbo likauma sana kufika asubuhi damu ikaanza kutoka nikaenda hospitali, wakasema ninywe amoxln nikanywa tumbo likapoa Lakini cha kushangaza baadae nilipopima mimba ikawa negative.
Dr nishauri nifanyeje, nina hamu ya mtoto.