Natamani ndoa zisajiliwe Kama Meli

Natamani ndoa zisajiliwe Kama Meli

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
Wakuu,
Meli inaweza kumilikiwa na Watanzania, ikaendeshwa na wazambia, ila usajili wake ukafanyika Pakistani.

Kampuni inapofilisika,mkatengana au kubadili Umiliki lazima mrejee Sheria za kiPakistani kumaliza tofauti zenu

Mfano:
1. Mnyakyusa amuoe mmachame, wakafunge ndoa Kenya, kwa Sheria za Kenya na wanapotofautiana wahukumiwe kwa Sheria za Kenya

2. Mghana amuoe Mspain,waishi England ila wakafunge ndoa Afghanistan,kwa Sheria za Afghanistan Na wanapotofautiana wahukumiwe kwa Sheria za Afghanistan.

HII IMEKAAJE?

Nawasilisha🙏
 
Mkuu hilo mbona linawezekana mkuu si mkataba na mambo ya uraia tu huoni manji kazikwa USA.. ni hela yako tu...


Ila tuende mbele turudi nyuma si tulikubalina tukengeuke kuhusu huu utapeli uitwao ndoa...


Mimi binafsi nimejitoa kwenye huo mkumbo.. Next month anakuja shemeji yako tufanye maisha... Wanawake zetu huu kwa sasa tuwe wa pole tu ndo tutakaa nao.
 
Mimi nitaoa tu wakatae waseme Mimi sikomi kwa yaliyonikuta lazima nioe tu

Haiwezekani niamke asubuhi Kama mnyama ,narudi ndani Kama bundi hakuna wa kusema pole na majukumu unalala Kama maiti za kiislamu maana Bora hata wakristo Kuna muda wanazikwa na suti zao na viatu .

Mkuu DeepPond oni lako nimeliona naweza kulifuata maana nahisi Lina maana sana ,ahsante sana
 
Kila siku tunawaambia kuhusu Utapeli wa Ndoa lakini hamtaki kusikia wala kuelewa.

Haya bhana ngoja nijichekee zang.

20240707_160820.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Mkuu hilo mbona linawezekana mkuu si mkataba na mambo ya uraia tu huoni manji kazikwa USA.. ni hela yako tu...


Ila tuende mbele turudi nyuma si tulikubalina tukengeuke kuhusu huu utapeli uitwao ndoa...


Mimi binafsi nimejitoa kwenye huo mkumbo.. Next month anakuja shemeji yako tufanye maisha... Wanawake zetu huu kwa sasa tuwe wa pole tu ndo tutakaa nao.
Ha ha ha....hongera kuvuta jiko mkuu😊
 
Sioni jinsi wazo lako litakavyosaidia kupunguza stress za ndoa.

Ukioa Kenya ukachapiwa hutoumia?
Hapo kwenye kuchapiwa ndo kunapowaweusha vijana. Unachapiwa kwani umelalwa wewe?

Siku hofu ya kuchapiwa ikifutika ndoa haina complications nyingi zaidi ya utaratibu wa kulea mliowaleta duniani iwapo mtaamua kuivunja.
 
Wakuu,
Meli inaweza kumilikiwa na Watanzania, ikaendeshwa na wazambia, ila usajili wake ukafanyika Pakistani.

Kampuni inapofilisika,mkatengana au kubadili Umiliki lazima mrejee Sheria za kiPakistani kumaliza tofauti zenu

Mfano:
1. Mnyakyusa amuoe mmachame, wakafunge ndoa Kenya, kwa Sheria za Kenya na wanapotofautiana wahukumiwe kwa Sheria za Kenya

2. Mghana amuoe Mspain,waishi England ila wakafunge ndoa Afghanistan,kwa Sheria za Afghanistan Na wanapotofautiana wahukumiwe kwa Sheria za Afghanistan.

HII IMEKAAJE?

Nawasilisha🙏
KWANI VYETI UNAVYOPEWA NI VYA SEKONDARI VILE
 
Wakuu,
Meli inaweza kumilikiwa na Watanzania, ikaendeshwa na wazambia, ila usajili wake ukafanyika Pakistani.

Kampuni inapofilisika,mkatengana au kubadili Umiliki lazima mrejee Sheria za kiPakistani kumaliza tofauti zenu

Mfano:
1. Mnyakyusa amuoe mmachame, wakafunge ndoa Kenya, kwa Sheria za Kenya na wanapotofautiana wahukumiwe kwa Sheria za Kenya

2. Mghana amuoe Mspain,waishi England ila wakafunge ndoa Afghanistan,kwa Sheria za Afghanistan Na wanapotofautiana wahukumiwe kwa Sheria za Afghanistan.

HII IMEKAAJE?

Nawasilisha🙏
Why afghanstan
 
Back
Top Bottom