Kila siku nawaza kuhusu nani atarithi mali zangu, naomba kuuliza kama ndio dalili za mwisho wa maisha yangu kukaribia, lakini naapa sitamwandika mrithi mtoto wangu wa kiume kwa sababu mama yake ni mtu mwenye tamaa ya mali.
Urithi wangu nitamwandika mama yangu ndio msimamizi mkuu, kwisha.
Kila siku nawaza kuhusu nani atarithi mali zangu, naomba kuuliza kama ndio dalili za mwisho wa maisha yangu kukaribia, lakini naapa sitamwandika mrithi mtoto wangu wa kiume kwa sababu mama yake ni mtu mwenye tamaa ya mali.
Urithi wangu nitamwandika mama yangu ndio msimamizi mkuu, kwisha.
Kila siku nawaza kuhusu nani atarithi mali zangu, naomba kuuliza kama ndio dalili za mwisho wa maisha yangu kukaribia, lakini naapa sitamwandika mrithi mtoto wangu wa kiume kwa sababu mama yake ni mtu mwenye tamaa ya mali.
Urithi wangu nitamwandika mama yangu ndio msimamizi mkuu, kwisha.
Kila siku nawaza kuhusu nani atarithi mali zangu, naomba kuuliza kama ndio dalili za mwisho wa maisha yangu kukaribia, lakini naapa sitamwandika mrithi mtoto wangu wa kiume kwa sababu mama yake ni mtu mwenye tamaa ya mali.
Urithi wangu nitamwandika mama yangu ndio msimamizi mkuu, kwisha.
Kila siku nawaza kuhusu nani atarithi mali zangu, naomba kuuliza kama ndio dalili za mwisho wa maisha yangu kukaribia, lakini naapa sitamwandika mrithi mtoto wangu wa kiume kwa sababu mama yake ni mtu mwenye tamaa ya mali.
Urithi wangu nitamwandika mama yangu ndio msimamizi mkuu, kwisha.
Kila siku nawaza kuhusu nani atarithi mali zangu, naomba kuuliza kama ndio dalili za mwisho wa maisha yangu kukaribia, lakini naapa sitamwandika mrithi mtoto wangu wa kiume kwa sababu mama yake ni mtu mwenye tamaa ya mali.
Urithi wangu nitamwandika mama yangu ndio msimamizi mkuu, kwisha.
wana vituko si kidogo.Nahisi anatamani azikwe nazo.Kweli walimwengu wanavituko
Mkuu wewe ndo mwenye tamaa na mali pamoja na mama yako ambaye utamrithisha...Hivi wewe nani mwenye uchungu na mali zako kama sio Mke wako? mambo ya kizamani hayo mzee...mie nikifa leo Mke wangu ndo mrithi wangu na watoto wake acha wazimalize hizo mali zangu lkn ndugu zangu no even touch my WIFE on any decision abaout my wealth....
da post zooooooooote umu zmetulia.....nadhan uchoyo utamwisha...
..uyu ni wale wanume ata wakinunua juic ..anasema i ya baba..wakat wa kula mezan anakula akimaliza anachukua juic kwenye frij anajimiminia uku watoto/watu wote wanamtumbulia macho ata haya hana..uchoyo/ubnafsi moja kwamoja..
kila kitu kizuri ..paja .kidari chake ole wake mtu akipakue...atafukuzwa nyumba aende kulala nje skuiyo...
thou mkeo ajasoma post i ..lakin kwa kuwa umemwazia na kumpangia mipango mibaya hauna budi KWENDA KUMUOMBA SAMAHAN...ta km si direct lakin yakupasa kufanya malipizi..nunua japo kanga mwambie mke wangu nimeipenda i vaa....LASIVYO NAKWAMBIA LAANA YA DHAMBI YA UBNAFSI ITAKUANDAMA NA AITAKUACHA KAMWE..utashangaa unafilisika taratiibu na mkeo anaibuka na kushika mali from nowhere...
uwez jua mkeo alkuwa anavumilia mangap wakat upo nae..km angekuwa na tamaa angeishi naawe mpk sasa?
au wadhan pia ANAISHI NA WEWE CZ WEWE UNAMALI?
u mbinafsi thats y kila unachokiona ni mali tu...na jinsi ya kuztia hila..DO U THK MKEO ANA MCHANGO ATA KIDOGO KWENYE IZO MALI ZAKO?
THK TWCE BRAZA
IT SEEMS UNA UGONJWA ULE WATOTO WA KIUME UNAWAPATA.... KUMPENDA MAMAKAE KUPITA KIASI KIAS CHA KUGOMBANA NA WAKE ZAO,ATAKACHOSEMA MAMA NDO ANATAKA KITEKELEZWE KWAKE ATA KM MAMA ANAKOSEA ILI MRAD MAMA KASEMA..NA WENgne wanapitiliza na kuishi na mama zao km wapenz wao...
weka kwa jina la mtoto wakorose kuna kitu nataka niweke wazi kabla hujaanza kunilaani,huyu mwanamke sio mke wangu,tumezaa lakini tuliishi pamoja kwa muda fulani tukaachana,mimi namwudumia mtoto tangu anazaliwa mpaka sasa hivi ana miaka 14,sababu kubwa iliyonifanye niwaze vile ni yule mwanamke kumilimiki mali tulizochuma tukiwa pamoja ikiwa ni pamoja ni kibanda kidogo nilichojenga kwenye uwanja wao kimakosa,
nimegundua yule mwanamke ni mtu mwenye tamaa sana ni ikitokea nikafa sasa hivi ndugu zangu na yeye itakuwa ni vita kali mno,yule mwanamke alishaolewa na anaishi na mume wake,nafikiri nimeeleweka wakuu!
rose kuna kitu nataka niweke wazi kabla hujaanza kunilaani,huyu mwanamke sio mke wangu,tumezaa lakini tuliishi pamoja kwa muda fulani tukaachana,mimi namwudumia mtoto tangu anazaliwa mpaka sasa hivi ana miaka 14,sababu kubwa iliyonifanye niwaze vile ni yule mwanamke kumilimiki mali tulizochuma tukiwa pamoja ikiwa ni pamoja ni kibanda kidogo nilichojenga kwenye uwanja wao kimakosa,
nimegundua yule mwanamke ni mtu mwenye tamaa sana ni ikitokea nikafa sasa hivi ndugu zangu na yeye itakuwa ni vita kali mno,yule mwanamke alishaolewa na anaishi na mume wake,nafikiri nimeeleweka wakuu!