shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,799
- 4,312
kabla hata hajawa star nishajilia sana tu mkuu na yeye ndo amefanya nimfahamu luluKwahiyo umeshatoka na Husna mkuu?
[emoji134][emoji134][emoji134]
Hahahaha unamwingiza cha kike mwenzakoHilo swala dogo mcheck DM huyu mzazi wake atakueleza kwa kumpataView attachment 378636
Kwani nani amedai anaumwa wewe kaloeke kamba yako usubiri matokeo ila muhimu ujilipie tu kwenye Bango,Winner hutakiwi kuwa mwoga..Mna uhakika na mnayoandika ,mtoto mshallah vile awe mgonjwa!!!
Umenifanya nicheke mkuu, unafurahisha sanaNi under age lakini, sijui kama amefikisha 18 yrs maana bongo movie umri hausogei.