Kuna rafiki yangu mmoja hapo dar yeye huamka saa kumi iliafike kazini saa moja na nusu na jioni hutoka saa moja na kufika saa nne au saa tano..huwa namshangaa sana maisha gani sasa hayo hapo mke watoto watapata mapenzi ya baba kweli mama atapata haki yake kweli
Haya ndo matatizowa ya binadamu.Yaani kama tatizo haliko kwake hilo sio tatizo,u-mimi tu ndo mwingi!
unaamini kuwa mazingira unayoishi ndio yanadetermine fate nayo au fate yako iko mikononi mwako??
unangojea u-sisi?zama hizo zishapita
Tatizo ni mfumo wa maisha ulivyowekwa.Ili muyafanye kuwa maisha yawe safi trust me,mmoja lazima abaki nyumbani angalau mpaka mfike mahali malezi ya wana hayahitajiki sana.Na hapa ukimgusia mkeo suala hili ndipo utakijua kilichomfanya kanga awe na madoadoa.Kila kitu kinafanywa kwa kufuata mkumbo tu!!
Natoka kazini nafika nyumbani usiku saa 3,mke wangu nae ndo anafika kutoka kazini,nae amechoka,namwambia tukaoge ananiambia nitangulie kwani amechoka.Naenda kuoga narudi HG anaweka chakula mezani,namuangaza mke wangu namkuta amepitiwa na usingizi kwenye kiti sababu za purukushani za kazini,namwamsha kisha wote tunajongea mezani,chakula sio kitam kama kile anachopika mke wangu,siku hizi hapiki,anakua kazini.Tunaingia kulala nimechoka nilitarajia mke wangu anipoze na mahangaiko ya kutwa nzima kumbe nae anahitaji wa kumpoza,hakuna wa kumpoza mwenzake wote usingizi unatupitia,tunalala kama tumezirai,hakuna muda wa kujadiliana kuhusu familia na maisha yetu.Unyumba tunapeana kimazoea tu,hakuna zile hisia na ham kama zamani.Kukicha watoto nao wanalalamika hatuna muda wa kukaa nao,hg hajui kuwalea kama mama yao.Watoto wanatuona kama wapita njia tu.Ee Mungu wanangu hawa watalelewaje?Najikuta nayatamani maisha niliyokulia mimi,natamani ningekuwa na umri wa baba yangu!!
Pole sana...maisha ya sasa hasa kwa wanaoishi jiji la Dar lenye foleni za kufa mtu yanahitaji uvumilivu wa hali ya juu. Hivi karibuni nilipata nafasi ya kuzungumza na marafiki wanaofanya kazi sehemu mbali mbali jijini kuhusu wanachokifanya ili kuwahi kazini.
Wengine wanadai kuamka saa 10 za alfajiri hupata kifungua kinywa ndani ya gari na wakimaliza kazi hawaingii majumbani mwao mpaka saa mbili za usiku au zaidi. Sasa saa ngapi utakuwa na nafasi ya kukaa na watoto, mume/mke na ilhali inabidi ukalale ili siku inayofuata uweze kuamka zile saa zako za saa 10 ya alfajiri.
Natoka kazini nafika nyumbani usiku saa 3,mke wangu nae ndo anafika kutoka kazini,nae amechoka,namwambia tukaoge ananiambia nitangulie kwani amechoka.Naenda kuoga narudi HG anaweka chakula mezani,namuangaza mke wangu namkuta amepitiwa na usingizi kwenye kiti sababu za purukushani za kazini,namwamsha kisha wote tunajongea mezani,chakula sio kitam kama kile anachopika mke wangu,siku hizi hapiki,anakua kazini.Tunaingia kulala nimechoka nilitarajia mke wangu anipoze na mahangaiko ya kutwa nzima kumbe nae anahitaji wa kumpoza,hakuna wa kumpoza mwenzake wote usingizi unatupitia,tunalala kama tumezirai,hakuna muda wa kujadiliana kuhusu familia na maisha yetu.Unyumba tunapeana kimazoea tu,hakuna zile hisia na ham kama zamani.Kukicha watoto nao wanalalamika hatuna muda wa kukaa nao,hg hajui kuwalea kama mama yao.Watoto wanatuona kama wapita njia tu.Ee Mungu wanangu hawa watalelewaje?Najikuta nayatamani maisha niliyokulia mimi,natamani ningekuwa na umri wa baba yangu!!
hamia mikoaniNatoka kazini nafika nyumbani usiku saa 3,mke wangu nae ndo anafika kutoka kazini,nae amechoka,namwambia tukaoge ananiambia nitangulie kwani amechoka.Naenda kuoga narudi HG anaweka chakula mezani,namuangaza mke wangu namkuta amepitiwa na usingizi kwenye kiti sababu za purukushani za kazini,namwamsha kisha wote tunajongea mezani,chakula sio kitam kama kile anachopika mke wangu,siku hizi hapiki,anakua kazini.Tunaingia kulala nimechoka nilitarajia mke wangu anipoze na mahangaiko ya kutwa nzima kumbe nae anahitaji wa kumpoza,hakuna wa kumpoza mwenzake wote usingizi unatupitia,tunalala kama tumezirai,hakuna muda wa kujadiliana kuhusu familia na maisha yetu.Unyumba tunapeana kimazoea tu,hakuna zile hisia na ham kama zamani.Kukicha watoto nao wanalalamika hatuna muda wa kukaa nao,hg hajui kuwalea kama mama yao.Watoto wanatuona kama wapita njia tu.Ee Mungu wanangu hawa watalelewaje?Najikuta nayatamani maisha niliyokulia mimi,natamani ningekuwa na umri wa baba yangu!!
This has nothing to do with anything here.Stick kwenye challange za maisha ya leo ni jinsi gani wanafamilia wanateseka na mfumo wa maisha kwa ujumla?
hyo ni mpaka weekend?Natoka kazini nafika nyumbani usiku saa 3,mke wangu nae ndo anafika kutoka kazini,nae amechoka,namwambia tukaoge ananiambia nitangulie kwani amechoka.Naenda kuoga narudi HG anaweka chakula mezani,namuangaza mke wangu namkuta amepitiwa na usingizi kwenye kiti sababu za purukushani za kazini,namwamsha kisha wote tunajongea mezani,chakula sio kitam kama kile anachopika mke wangu,siku hizi hapiki,anakua kazini.Tunaingia kulala nimechoka nilitarajia mke wangu anipoze na mahangaiko ya kutwa nzima kumbe nae anahitaji wa kumpoza,hakuna wa kumpoza mwenzake wote usingizi unatupitia,tunalala kama tumezirai,hakuna muda wa kujadiliana kuhusu familia na maisha yetu.Unyumba tunapeana kimazoea tu,hakuna zile hisia na ham kama zamani.Kukicha watoto nao wanalalamika hatuna muda wa kukaa nao,hg hajui kuwalea kama mama yao.Watoto wanatuona kama wapita njia tu.Ee Mungu wanangu hawa watalelewaje?Najikuta nayatamani maisha niliyokulia mimi,natamani ningekuwa na umri wa baba yangu!! . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Nyote mnaochangia hebu changieni kwa kushauri kulingana na changamoto hizi zinazotukabili,mtoa mada anaweza kuwa amewawakilisha wenye maisha yenye changamoto hiyo,sio lazima ahusike!
Unadhani w/end itabadili yote?
Kama unaishi Dar ni sawa..
Ila ukienda mikoani unapata muda wa kukaa na familia yako mpaka basi..
Wakati mwingine tusiache mihangaiko ya maisha itawale kila kitu..utakuja kukuta mwana si wako!
yaaah mnaweza kucompasate muda wenu mnaokosa pamoja weekend mfano kama hii ndefu ya wiki hii,tafuta muda zaidi na wifi muweke mambo sawa.kama watoto ni wakubwa why not take atrip away kama cash inaruhusu?
Sidhani,malezi ya watoto yanahitaji zaid w/end,na changamoto nilizotaja hapo juu w/end ni ndogo!
sikia nyie mkiwa sawa na watoto nao mtaweza kuwalea sawa,hiyo kwenda trip sio remedy ya kila siku kakaangu ila ni step ya mwanzao ya kurudisha uhai wa kihisia ndani yenu,to be frank watoto katika hili naomba niwaweke wa pili kidogo,mek up with her mkirudi huko u will see the diffrenc,mtaweza kuongea,kujadili,na kupanga ni jinsi gani muwe na ndoa romantic,watoto wenye malezi bora bila kusahau na account zilizonona!maana mi nikiwa na stress hasa kuhusu ndoa hata kazi sifanyi vizuri.mkiwa huko for this two day u will see her tofauti sana,afa kama utaniruhusu nipe user name yake au email nimtip nini afanye on ur week away!sum of the things are WOMEN STUFFs.