@ausha,baba mngoni ,mama mchagga.......
......wa kwanza alikuwa mhaya, bishoo sana, very bright , home kwao nusu ulaya
Huyu alinisumbua sana, na alinipotezea sana kujiamini ilifikia wakati hata 1+1=2 naomba confirmation kutoka kwake
utoto +dharau zake zilinifanya NISHINDWANE NAYE.(Thanks God amejiingiza mwenyewe kwenye kula UNGA ni msomi anayefungiwa getini kwao asitoke maana ni nusu mwehu)
........wa pili and i used kujidangannya the last ni mmassai aliyekulia AR tokea utotoni.Huyu nilimpata kanisani, mwanakwaya, from low class family, working for TOUR OPERATORS, MCHA MUNGU ila naona kila dalili ya kutoswa as days go on.
Naumia sana.
Note:NATAMANI NINGEKUWA NINA 50 yrs old (bibi) UNGEKUTA SISUMBUKII chochote kuhusu mapenzi na dunia zaidi ya kukumbuka harakati za ujana nlizopitia.
nizae na mtu ni mtu.....au nifanyeje na nsipokuwa na mme rasmi itakuwa mateso maishani?ila huyu mmasai nampenda sana siwezi mwona akiwa na msichana mwingine blood vessels zitapasuka.
......wa kwanza alikuwa mhaya, bishoo sana, very bright , home kwao nusu ulaya
Huyu alinisumbua sana, na alinipotezea sana kujiamini ilifikia wakati hata 1+1=2 naomba confirmation kutoka kwake
utoto +dharau zake zilinifanya NISHINDWANE NAYE.(Thanks God amejiingiza mwenyewe kwenye kula UNGA ni msomi anayefungiwa getini kwao asitoke maana ni nusu mwehu)
........wa pili and i used kujidangannya the last ni mmassai aliyekulia AR tokea utotoni.Huyu nilimpata kanisani, mwanakwaya, from low class family, working for TOUR OPERATORS, MCHA MUNGU ila naona kila dalili ya kutoswa as days go on.
Naumia sana.
Note:NATAMANI NINGEKUWA NINA 50 yrs old (bibi) UNGEKUTA SISUMBUKII chochote kuhusu mapenzi na dunia zaidi ya kukumbuka harakati za ujana nlizopitia.
nizae na mtu ni mtu.....au nifanyeje na nsipokuwa na mme rasmi itakuwa mateso maishani?ila huyu mmasai nampenda sana siwezi mwona akiwa na msichana mwingine blood vessels zitapasuka.