natamani ningekuwa na miaka 50+ ..........

natamani ningekuwa na miaka 50+ ..........

Marytina

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
9,585
Reaction score
7,766
@ausha,baba mngoni ,mama mchagga.......


......wa kwanza alikuwa mhaya, bishoo sana, very bright , home kwao nusu ulaya

Huyu alinisumbua sana, na alinipotezea sana kujiamini ilifikia wakati hata 1+1=2 naomba confirmation kutoka kwake
utoto +dharau zake zilinifanya NISHINDWANE NAYE.(Thanks God amejiingiza mwenyewe kwenye kula UNGA ni msomi anayefungiwa getini kwao asitoke maana ni nusu mwehu)

........wa pili and i used kujidangannya the last ni mmassai aliyekulia AR tokea utotoni.Huyu nilimpata kanisani, mwanakwaya, from low class family, working for TOUR OPERATORS, MCHA MUNGU ila naona kila dalili ya kutoswa as days go on.

Naumia sana.
Note:NATAMANI NINGEKUWA NINA 50 yrs old (bibi) UNGEKUTA SISUMBUKII chochote kuhusu mapenzi na dunia zaidi ya kukumbuka harakati za ujana nlizopitia.

nizae na mtu ni mtu.....au nifanyeje na nsipokuwa na mme rasmi itakuwa mateso maishani?ila huyu mmasai nampenda sana siwezi mwona akiwa na msichana mwingine blood vessels zitapasuka.
 
yaani na ujanja wako wote unakosa mwanaume my dia?
ukitaka kupata mwanaumme mzuri we tulia tu watakuja wenyewe,usiishi kwa kupretend
kuwa na hulka za kike.inaelekea wewe unalazimisha mapenzi ndo maana yanakutesa.huyo mmasai unamngangania wa nini? kama hakutaki huwezi badilisha kitu
songa mbele
 
@ausha,baba mngoni ,mama mchagga.......


......wa kwanza alikuwa mhaya, bishoo sana, very bright , home kwao nusu ulaya

Huyu alinisumbua sana, na alinipotezea sana kujiamini ilifikia wakati hata 1+1=2 naomba confirmation kutoka kwake
utoto +dharau zake zilinifanya NISHINDWANE NAYE.(Thanks God amejiingiza mwenyewe kwenye kula UNGA ni msomi anayefungiwa getini kwao asitoke maana ni nusu mwehu)

........wa pili and i used kujidangannya the last ni mmassai aliyekulia AR tokea utotoni.Huyu nilimpata kanisani, mwanakwaya, from low class family, working for TOUR OPERATORS, MCHA MUNGU ila naona kila dalili ya kutoswa as days go on.

Naumia sana.
Note:NATAMANI NINGEKUWA NINA 50 yrs old (bibi) UNGEKUTA SISUMBUKII chochote kuhusu mapenzi na dunia zaidi ya kukumbuka harakati za ujana nlizopitia.

nizae na mtu ni mtu.....au nifanyeje na nsipokuwa na mme rasmi itakuwa mateso maishani?ila huyu mmasai nampenda sana siwezi mwona akiwa na msichana mwingine blood vessels zitapasuka.

We vipi bana, wawili ushaanza kuchanganyikiwa?

Go on... wa tatu, wa nne, wa tano, wa sita, wa saba... then hapo unaruhusiwa kuanza kuchanganyikiwa...

kama ni mtoto, mbona hata huku JF mbegu zipo?
 
hehehe Marytina bana, Kuna vibibi vipo 50 na bado mziki wake unaweza ukaomba maji. Ile kitu samtaimu haina umri bana. Hivi madonna ana umri gani?
 
yaani na ujanja wako wote unakosa mwanaume my dia?
ukitaka kupata mwanaumme mzuri we tulia tu watakuja wenyewe,usiishi kwa kupretend
kuwa na hulka za kike.inaelekea wewe unalazimisha mapenzi ndo maana yanakutesa.huyo mmasai unamngangania wa nini? kama hakutaki huwezi badilisha kitu
songa mbele
kweli dia nimekosa wa kuwa mme (not just mwanaume ni mwanaume)
kama ni wanaume wa kupeana kampani sichukui hata 2 hrs bila kumnasa, thanks GOD my body inaniuza haraka
hapa nazungumzia mume na si hawara

huyo mmasai kama vile anapassword zangu za luv yaan sikubali
 
Hivi huyu masai ndiye uliyedondokea kwake baada ya kuongezewa mshahara?
 
We vipi bana, wawili ushaanza kuchanganyikiwa?

Go on... wa tatu, wa nne, wa tano, wa sita, wa saba... then hapo unaruhusiwa kuanza kuchanganyikiwa...

kama ni mtoto, mbona hata huku JF mbegu zipo?
nikipata chance ya kulala na mmasai wangu one more time ntazichukua hata zikiwa kwenye kondom nikajimimbe nampenda sana
 
hehehe Marytina bana, Kuna vibibi vipo 50 na bado mziki wake unaweza ukaomba maji. Ile kitu samtaimu haina umri bana. Hivi madonna ana umri gani?
kama una 50 bado una kiu ya kuwa na mpenzi utakuwa kichaa
 
kweli dia nimekosa wa kuwa mme (not just mwanaume ni mwanaume)
kama ni wanaume wa kupeana kampani sichukui hata 2 hrs bila kumnasa, thanks GOD my body inaniuza haraka
hapa nazungumzia mume na si hawara

huyo mmasai kama vile anapassword zangu za luv yaan sikubali

Promo Only.
 
Mbona umemzimia mmasai sana au hile kitu yao wanayoachaga kipindi wakifanya jando ndio imekuchanganya? Je na huyo katerero haingii kitu kwa mmasai?
 
kweli dia nimekosa wa kuwa mme (not just mwanaume ni mwanaume)
kama ni wanaume wa kupeana kampani sichukui hata 2 hrs bila kumnasa, thanks GOD my body inaniuza haraka
hapa nazungumzia mume na si hawara

huyo mmasai kama vile anapassword zangu za luv yaan sikubali
achana nae
kwa nini ujitese ?
 
nikipata chance ya kulala na mmasai wangu one more time ntazichukua hata zikiwa kwenye kondom nikajimimbe nampenda sana
Come down baby... he will be there for u...
 
Back
Top Bottom