ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Nimepata kila kitu hapa duniani.kama ni pesa ninayo kwa Sasa nimebaki na mawazo ya kifo tu nawaza Sana itakuwaje siamini Kama nitakufa na kuacha Mali zote hizi.kungekuwa na uwezo nimuhonge pesa yote anayechukua uhai wetu ningefanya hivyo.ningempa hela yote Kama angehitaji.