Natamani sana kufanya biashara ya pafyume

Natamani sana kufanya biashara ya pafyume

Morg

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
1,301
Reaction score
1,788
Wakuu kwà mda mrefu nimekuwa kwenye shauku ya kufanya biashara ya kuuza pafyume zile za bei kubwa kubwa kuanzia 10. na kuendelea zenye standard mzuri na kuimport mzigo from Dubai to Zanzibar then Tanzania.

Lakini ningependa kupata apdate moja mbili kutoka kwà wadau wa humu jf na jua wanauzoefu wa kutosha.

Capital ndogo ya kawaida kianzio 1.5ml changamoto ni eneo la kufanyia biashara nipo dar maeneo ya sinza but napendelea k,koo kule. Ningependa ushauri kidogo kwà wenye uzoefu juu ya hii biashara.

Screenshot_20210407-111831.jpg
Screenshot_20210407-111851.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa 1.5mil pekee ,haitatosha kununua mzigo nakupata frem huko kariakoo unapopapendekeza,

Labda ujaribu kupata space yakuweka meza ndogo huko, kiasi kilichobaki ndio ununue hzio perfume

Ningekuwa mimi pesa yote 1.5mil ningechukua mzigo zile perfume pendwa zaidi,

Kisha naanza kuzitembeza kwenye ma office n.k,
Pamoja nakupost zaidi kwenye social media kila siku kwa kuuza bei nafuu ili mzogo utoke haraka na kufanya mzunguko wa mtaji.
 
Mkuu kwa 1.5mil pekee ,haitatosha kununua mzigo nakupata frem huko kariakoo unapopapendekeza,

Labda ujaribu kupata space yakuweka meza ndogo huko, kiasi kilichobaki ndio ununue hzio perfume


Ningekuwa mimi pesa yote 1.5mil ningechukua mzigo zile perfume pendwa zaidi,

Kisha naanza kuzitembeza kwenye ma office n.k,
Pamoja nakupost zaidi kwenye social media kila siku kwa kuuza bei nafuu ili mzogo utoke haraka na kufanya mzunguko wa mtaji.
Good idea mkuuu umenishauri vyema sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom