Natamani sana kuuza magazeti

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
habari wakuu nataman sana kuuza magazeti ila nimekosa mtu wa kunielewesha jinsi ile biashara inavyofanyika. eneo la kuuzia ninalo tayari naomba anaeijua vizuri hiyo biashara anielimishe
 
Ni rahisi. Chukua gazeti lolote lile mara nyingi huwa wanaandika ndani majina ya wahusika idara zao na no za simu or email. Hapo utapata no za watu wa idara ya masoko na usambazaji, wapigie watakuelewesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…