Natamani sana kwenda nchi ambayo hawajui Kingereza wala Kiswahili na kuagiza chakula

Natamani sana kwenda nchi ambayo hawajui Kingereza wala Kiswahili na kuagiza chakula

Shozylin

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
341
Reaction score
699
Hua natamani sana siku moja nitoke nje ya Tanzania niende nchi yoyote ambayo hawajui Kiswahili wala Kingereza.

Baada ya kufika huko sasa, hapa ndipo ninapopatamani niagize maji kwa Kingereza, wasipoelewa niwaonyeshe ishara.

Yaani kifupi vitu vyote nitumie ishara na lugha tusiyo weza kuelewana, niwe kama Wadhungu wanavyo kuja huku kwetu vijijini tunaishi kushangaana.

Watu wote waanze kuninyooshea kidole wakiulizana kuwa mimi ni mtu kutoka taifa gani wasipate majibu.
 
Hua natamani saana siku Moja nitoke nje ya Tanzania niende nchi yoyote ambayo hawajui kiswahili Wala kingereza.

Baada ya kufika huko Sasa hapa nipo ninapo patamani maji niagize kwa kingereza wasipo elewa niwaonyeshe ishara.


Yaaan kifupi vitu vyote nitumie ishara na lugha tusiyo weza kuelewana
Nenda MBINGUNI bro. ...a.k.a ROCK CITY
 
Back
Top Bottom