Elections 2010 Natamani sana mtu akanushe mambo haya kiuhalisia


Jamii inahitaji watu kama wewe.Critics.Ni changamoto ili kufanikiwa zaidi
 
naungana na Safree, mijitu mingi humu yanatoa maneno machafu badala ya kupinga kwa hoja, si heri hata Rev kakosoa toka 5% to 5.7% ambayo kwa ukaribu anaungana na mtoa hoja. Watu wa Chadema kwenye jamii forum, tuchangie hoja sio maneno machafu. penye ukweli tukubali, mabadiliko tuyafanye kwa kuboresha
 
Nakumbuka,mwaka jana kuna mtu mmoja muhimu pale muhimbili aliugua sana.akapimwa akaoneka kuna damu inavuja tumbo lakini kila wakijaribu kuangalia inatokea wapi haikujulikana.akazunguka hospitali mbili tatu zile za mahela mengi,mojawapo akaambiwa ana moyo mkubwa.baadae wenzie wakamshauri aende India akagoma,lakini baadae akakubali.kwa maelezo yake alipofika walimuuliza anatokea wapi?alipowajibu tza,walicheka sana na kusema wanajua.alikutwa tatizo lake ni uvimbe tumboni.sasa akauliza yeye ana uwezo wa kwenda India.Je watz wa kawaida inakuaje?Tandale One,Uwingi si hoja!
 
waacheni watz wataamua mbichi na mbivu, statistics za nchi hii zinamapungufu mengi sana, so inategemea hizo statistics alikozitoa zimefanyiwa kazi au la
 
:A S-danger::A S-danger::A S-danger:
 

Attachments

  • Dirty water.jpg
    8.8 KB · Views: 23
  • Tanzania-192-setting-550W.jpg
    38.6 KB · Views: 25
  • 22.jpg
    28 KB · Views: 25
  • malibwi_water_children_op_.jpg
    11.5 KB · Views: 26
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…