Natamani sana nikututane na "Madame X"


Me ndo Pacha wake MadameX,ila mwaga data zako hapa ili tujue jinsi ya kukusaidia;

Account yako ina sh ngapi?
Una gari?
Una nyumba?
Salary yako kwa mwezi sh ngapi?
Na mengine yatafuata.
Jibu kwanza hayo.
 
Last edited by a moderator:
Me ndo Pacha wake MadameX,ila mwaga data zako hapa ili tujue jinsi ya kukusaidia;

Account yako ina sh ngapi?
Una gari?
Una nyumba?
Salary yako kwa mwezi sh ngapi?
Na mengine yatafuata.
Jibu kwanza hayo.

NYUMBA NA GARI VYOTE NINAVYO ILA NI VYA URITHI,
Salary yangu per month ni $690.
Salio langu kwenye akaunt cwez kukwambia wewe ila nikiulizwa na
"MADAME X" nitatoa hizo takwimu!
 
Last edited by a moderator:
NYUMBA NA GARI VYOTE NINAVYO ILA NI VYA URITHI,
Salary yangu per month ni $690.
Salio langu kwenye akaunt cwez kukwambia wewe ila nikiulizwa na
"MADAME X" nitatoa hizo takwimu!

$ 690 pesa fupi hiyo....haya tuambie ngapi salio
 
Nasikitika sana kusema thread yangu haikueleweka kwenu!
Maana shida yangu ya kutaka kukuona haina uhusiano wowote na SALIO LA A/C YANGU!
Eti bujibuji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…