Nimewahi kusoma sehemu kuwa wireless haina ubora kama kutumia wire yenyewe.
Mfano ukiunganisha spika na simu kwa kutumia wire, nyimbo inakuwa vizuri zaidi kuliku ukiunganisha kwa wireless.
Mimi siyo mtaalamu pande hizo nimegusa tu nilichosoma sehemu.
Chief-Mkwawa