Natamani watu wapya!!!

Mdau

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2008
Posts
1,789
Reaction score
473
jamani,mimi si mtu wa dini sana lakini kuna wimbo huwa unani-impress..simjui mwimbaji,lakini mojawapo ya vipande vyake,ni pale anaposema 'natamani nchi mpya'-naomba kusahihishwa if am mistaken! sasa basi, tena nasema kwa msisitizo na sihitaji ubishi hapa; NATAMANI WATU WAPYA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hivi kweli rais wetu ana feelings/senses???? anao washauri??? ana marafiki wa kupiga nao stories??? anakaa na family yake wakijadili mambo??? ano ndugu??? if all answers are in affirmitive, KWA NINI NISITAMANI WATU WAPYA????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…