Natamani Young Africans Achukue CAF Champions League Na Simba SC Achukue CAF Confederation Cup 24/25

Natamani Young Africans Achukue CAF Champions League Na Simba SC Achukue CAF Confederation Cup 24/25

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
44,855
Reaction score
189,385
Habari wapenzi wa soccer.

Young Africans yupo kwenye mashindano makubwa ya CAF Champions League 2024/2025 na Simba Sc yupo kwenye mashindano ya CAF Confederation Cup 2024/2025.

Natamani kila mmoja ashinde kwenye mashindano ambayo yupo yaani Young Africans awe bingwa wa CAF Champions League 24/25 Na Simba SC awe bingwa wa CAF Confederation Cup 24/25.

Lengo tushuhudie Derby ya kariakoo ndani ya mashindano makubwa ya bara letu la Africa. Kama ambavyo tumeshuhudia Derby ya Cairo Kati ya Al Ahly Na Zamaleck.

Hapo tutafaidika katika kutangaza mpira wetu duniani kote.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
 
Natamani young africans wachukue caf cl alafu simb waishie nafasi ya 5 NBC pl. 🙏🏽
 
Natamani yanga atinge fainali halafu afungwe
6-0 atutie aibu tuhuzunike mbele ya camera tukachekee bafuni.
 
Ingekuwa poa kama ingekuwa inawezekana ila kwa simba hii ata makundi hatoboi.
 
Habari wapenzi wa soccer.

Young Africans yupo kwenye mashindano makubwa ya CAF Champions League 2024/2025 na Simba Sc yupo kwenye mashindano ya CAF Confederation Cup 2024/2025.

Natamani kila mmoja ashinde kwenye mashindano ambayo yupo yaani Young Africans awe bingwa wa CAF Champions League 24/25 Na Simba SC awe bingwa wa CAF Confederation Cup 24/25.

Lengo tushuhudie Derby ya kariakoo ndani ya mashindano makubwa ya bara letu la Africa. Kama ambavyo tumeshuhudia Derby ya Cairo Kati ya Al Ahly Na Zamaleck.

Hapo tutafaidika katika kutangaza mpira wetu duniani kote.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
Wazo zuri je uwezo huo wanao?
 
Back
Top Bottom