Natangaza haya hadharani: Nitapata ajira haraka baada ya kuhitimu Shahada ya Kwanza

Natangaza haya hadharani: Nitapata ajira haraka baada ya kuhitimu Shahada ya Kwanza

Azimio la kazi

Senior Member
Joined
Jun 7, 2023
Posts
138
Reaction score
452
Kutokana na tatizo la ajira, vijana wengi wanaishi kwa msongo huko chuoni juu ya vipi wataishi baada ya masomo.

Kwa akili zangu timamu, mimi kijana ninaesoma Shahada ya kwanza ya Ualimu, katika moja ya chuo hapa jijini Dar es Salaam, nina imani kuwa sitakaa mtaani muda mrefu nikisubiri ajira, bali nitamaliza na ajira zitakapotangazwa na mimi mara hiyohiyo nitapata.

Nini jeuri yangu?

Kama ambavyo watoto wa wakubwa serikalini hawawazi kuhusu ajira na mimi mwana wa ufalme kupitia Ahadi za Neema za Kristo sitakaa mtaani.

Yesu Kristo atamanipulate mfumo wa ajira na kuweka jina langu. Nami nitakuja hapa hapa JF kushuhudia.
 
Kutokana na tatizo la ajira, vijana wengi Wana ishi kwa msongo huko chuoni juu ya vipi wataishi baada ya masomo.
Kwa akili zangu timamu Mimi kijana nae soma shahada ya kwanza ya ualimu, katika moja ya chuo apa jijini dar es salaam , kuwa kwa imani sitkaa mtaani bali tamaliza na ajira zitakapo tangazwa na Mimi mara hiohio tapata.


Nini jeuri yangu?????

Kama ambavyo watoto wa wakubwa serikalini hawawazi kuhusu ajira na mimi mwana wa ufalme kupitia AHADI za NEEMA za kristo sitakaa mtaani.

Yesu kristo ata manipulate mfumo wa ajira na kuweka jina langu. Nami takuja hapa hapa jf kushuhudia
Waingie kwenye Kilimo kama Hawataki waendelee kuvutia bangi
 
Kutokana na tatizo la ajira, vijana wengi Wana ishi kwa msongo huko chuoni juu ya vipi wataishi baada ya masomo.
Kwa akili zangu timamu Mimi kijana nae soma shahada ya kwanza ya ualimu, katika moja ya chuo apa jijini dar es salaam , kuwa kwa imani sitkaa mtaani bali tamaliza na ajira zitakapo tangazwa na Mimi mara hiohio tapata.


Nini jeuri yangu?????

Kama ambavyo watoto wa wakubwa serikalini hawawazi kuhusu ajira na mimi mwana wa ufalme kupitia AHADI za NEEMA za kristo sitakaa mtaani.

Yesu kristo ata manipulate mfumo wa ajira na kuweka jina langu. Nami takuja hapa hapa jf kushuhudia
Amen
 
Hii mentality yao ndio tatitazo lenyewe sasa.

Matarajio makubwa
 
Unatakiwa ubalance kote kwenye kupata na kukosa huu ndio mzani sahihi.
Ila ukijiwekea kupata tu au kukosa tu, hapo lazima utapotea au kupoteza fursa.
 
Kutokana na tatizo la ajira, vijana wengi Wana ishi kwa msongo huko chuoni juu ya vipi wataishi baada ya masomo.
Kwa akili zangu timamu Mimi kijana nae soma shahada ya kwanza ya ualimu, katika moja ya chuo apa jijini dar es salaam , kuwa kwa imani sitkaa mtaani bali tamaliza na ajira zitakapo tangazwa na Mimi mara hiohio tapata.


Nini jeuri yangu?????

Kama ambavyo watoto wa wakubwa serikalini hawawazi kuhusu ajira na mimi mwana wa ufalme kupitia AHADI za NEEMA za kristo sitakaa mtaani.

Yesu kristo ata manipulate mfumo wa ajira na kuweka jina langu. Nami takuja hapa hapa jf kushuhudia
Imani yako ndiyo itakayokuponya

Lakini IMANI bila MATENDO ni bure

Wakati unamtegemea Yesu Kristo pia hakikisha unasoma kwa bidii na utatafuta kazi kwa bidii.
 
Kutokana na tatizo la ajira, vijana wengi wanaishi kwa msongo huko chuoni juu ya vipi wataishi baada ya masomo.

Kwa akili zangu timamu, mimi kijana ninaesoma Shahada ya kwanza ya Ualimu, katika moja ya chuo hapa jijini Dar es Salaam, nina imani kuwa sitakaa mtaani muda mrefu nikisubiri ajira, bali nitamaliza na ajira zitakapotangazwa na mimi mara hiyohiyo nitapata.

Nini jeuri yangu?

Kama ambavyo watoto wa wakubwa serikalini hawawazi kuhusu ajira na mimi mwana wa ufalme kupitia Ahadi za Neema za Kristo sitakaa mtaani.

Yesu Kristo atamanipulate mfumo wa ajira na kuweka jina langu. Nami nitakuja hapa hapa JF kushuhudia.
Kilalakheri dogo,kwa Imani !
 
Kuwa creativity hizo laki sita kwa mwezi sio kitu Tena wakati huu think and grow rich
 
Back
Top Bottom