Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Haijafanya chochote mkuu...najaribu kupumzika nione itakua jePombe imekufanyia nn tuambie na sisi huenda tukabadilika
Kuna viporo hapa nataka nivimalizie ndio niache sasaSasa unamuachia nani mkuu?
Hembu jipongeze kwa kufikia maamuzi hayo kwa kujipa ofa ya Bia mbili.
tbl na sbl hawatuthamini kabisa...hata tunzo wwlishindwa kutuwekeaNaunga mkono hoja mkuu
Hahaha hao wananiandama sana na unywaji wanguKumbe unajaribu..! Kwa taarifa yako hao uliowatag hapo ndio watakurudisha pombeni ni Jambo la muda tu..[emoji23]
Najiuliza ule mda niliokua nakaa bar nitaufanyia ninHofu yetu usije ukaanza kua mchawi Sasa maana mida uliokua unakunywa utaanza kujifunza uchawi
Maandiko hayo mkuu...kitabu cha SIRAMaisha yafaa nini bila pombe?
Siamini uwepo wa Mungu mkuu...Kila la heri katika hatua ya kwanza ya safari yako ya kuelekea mbinguni
Oa mmoja hapo unasubiri niniHahaha hao wananiandama sana na unywaji wangu
ule muda tuliotumia bar kwa sasa tutaufanyia nin mkuu? Au tuende tuwe tunakunywa baltikaTuko pamoja 2021 sitaki kugusa kabisaa pombe.
Hahahaha kwa pombe nilizokunywa jana ni ngumu kua na hangover leoWe Ni hangovers zinakusumbua mkuu!
Tafuta supu hakuna namna
Nipongezeee kwa hatua niliofikia mamiiiAiseh Mangi ni umechanganyikiwa ama ni nini..