Una maanisha kuwa, hao watu wapo kwenye ndoa kwa maana ya kuwa wamesha oana, na sasa wameamua kubariki ndoa zao au sio...!?
mi napinga hizo ndoa zote...coz mi nimekuwa isolated y nt me?
nataka kukuongeza ww uwe mke wangu wa tatu!ili kitambi changu kipungue.
mkuu Gbollin heshima mbele,em nikabidhi wangu haraka halafu kwa kukusaidia huyo wako i mean Husninyo nilimuona na Sharohalo lkn anamilikiwa na dogo mmoja anaekwenda kwa jina la figganigga. Kama sitapata wangu niweke mapokezi na katavi tukawinde huko
Mkuu,nasikia babu Asprin anapumzika kwa lizzy. Hivi Krolokwin yumo humu ndani??
Eti kwa mfano au basi ngoja tuache tu.
We ulitaka!!?Haya basi nafupisha maneno....NN SIMTAKI!Maneno meeengi kaa chiriku vile. Masumbwi unayaweza kweli wewe?
Babu nlikua nimelala nikasikia umeniita..Hivi kuna mtu yeyote kanionea Lizzy?
Mkimwona mwambieni babu yake anammisi sana eti. Anasikitika kampotezea sana.
Babu anarudi kitandani kusononeka.
Alafu wewe mbona hujatulia???Juzi umenibambikia mume wa mtu alafu leo nirudi kwa Rev??Lizzzzzzzyyyy!!! Rev anakuhitaji,mpatanishi amekuja haya nendeni mka-solve mambo yenu.
Alafu wewe mbona hujatulia???Juzi umenibambikia mume wa mtu alafu leo nirudi kwa Rev??